Mkuu mpangamji, tunaambiwa picha ya avatar yako ni "too sexy to display". Uliweka picha ya utupu???Heshima kwenu. Asubuhi hii imeingia meli ikiwa full mabunduki, rada kama ya chenge. Kunani au tumekamata ali-shabab\zenj
Ka mchina kangu hakana huo uwezo. tusubiri wadau watatujuza
uKAPIGE PICHA MELI YA KIJESHI!!! THUBUTUUU!!!!
Mkuu mpangamji, tunaambiwa picha ya avatar yako ni "too sexy to display". Uliweka picha ya utupu???