Meli ya Bakhresa inaungua moto!

Jamini hii meli ina muda mrefu hapa ilikuwa ikipakwa rangi, ipo usawa wa stand ya posta mpya si kwenye meli za Zanzibar, si dhani kama ni ya mafuta kwa jinsi inavyoonekana.
Halafu si meli hii ni Boat tu.

Ina maana tofauti kati ya meli na mtumbwi hatuijui au???!!

Nataka taharifa kamili, ni meli au mtumbwi?, alafu ilikuwa na mafuta au ilikuwa inakarabatiwa?

Ni vyema tukawa na utamaduni wa kutoa information zenye ukweli, hata hivyo nawashukuru wote waliojitolea kutujulisha hiyo ajari. MUNGU awabariki.
 
Yaaani we acha tu.
Wasiwasi wangu ni watanzania ambao wakishaona dizasta ndo wananoa miguu kukimbilia.

Naona wabongo wanaimiss dizasta kinoma. Polisi jamii iwafunde wabongo kukaa mbali na majanga ya hatari kama haya yatokeapo.

Thanx Max kwa kuwa mstari wa mbele kutuhabarisha
 
Ina maana tofauti kati ya meli na mtumbwi hatuijui au???!!

Nataka taharifa kamili, ni meli au mtumbwi?, alafu ilikuwa na mafuta au ilikuwa inakarabatiwa?

Ni vyema tukawa na utamaduni wa kutoa information zenye ukweli, hata hivyo nawashukuru wote waliojitolea kutujulisha hiyo ajari. MUNGU awabariki.

Is just Boat boss wangu na haikuwa na mafuta
1. Imekuwa ikifanyiwa ukarabati kwa muda sasa maeneo haya, ss wa mjini
tunaiyona daily na walikuwa wanamalizia kupaka rangi blue.
2. Ingekuwa na mafuta saa hizi tungekuwa tunaongea habari tofauti.
3. Niinavyo mimi ile ni ya mizigo au uvuvi, cc watu wa Pwani bwani.
 
Mungu epusha hatari zaidi.

Mimi nadhani ndio sababu Watanzania tunaendelea kuwa maskini. Tunategemea kuombea kila kitu ili kiende! Tuwaombee mafisadi waishe, viongozi watutawale vizuri, tuziombee barabara zijengeke, tuyaombee magonjwa ukiwemo ukimwi upotelee mbali!

Kweli hivi ndivyo, mbona basi tusifunge hospitali zote, vituo vyote vya huduma zikiwemo polisi zimamoto n.k tuwekeze nguvu zetu tu kwenye maombi!

Ni lazima tujenge uwezo wa kukabiliana na majanga kama haya, vinginevyo kama huwezi kujisaidia hata Mungu hana msaada kwako. Tunza na zizalishe talanta ulizopewa. Kazi ya kumsingizia Mungu tuiache, ndio kweli tutaweza kuanza safari ya kubadilisha maisha yetu.

Inasikitisha hata pale mtoto anpokufa kwa malaria, kipindupindu n.k, utasikia wakisema Bwana alitwaa na Bwana ametwaa, jina la Bwana libarikiwe! TUBADILIKE!
 
mwezangu hapa ofisini kwetu tumeona moshi mkubwa but we donknow whats happening tumemuuliza mlinzi naye hajui, heee kumbe masikini pole yake.
thanks kwa info.


Mkuu kama mnaona moshi hapo ,basi hapana shaka ni moto huo unawaka .
 
UPDATE:

Waokoaji/wazimaji waliondoka na vifaa vyao, ..........chaajabu sana dakika chache tu baadae umelipuka tena na flames kali, naona warudi tena kuzima. ..jamanii!
 
Huyo anataka kutajirika kwa njia ya BIMA. Matajiri wasizuge watu. Hiyo wanaiunguza wenyewe. Biashara hiyo, kama hamjui.
 
tabu waswahili wanafikiri kunauwezekano wa mafuta ya kuchota shida hizi taaaabu tupu
 
Limeli lenyewe hili hapa linawaka moto.
SANY3062.JPG

Linazidi kuteketea kwa moto.
SANY3048.JPG
 
Ni lazima tujenge uwezo wa kukabiliana na majanga kama haya, vinginevyo kama huwezi kujisaidia hata Mungu hana msaada kwako. Tunza na zizalishe talanta ulizopewa. Kazi ya kumsingizia Mungu tuiache, ndio kweli tutaweza kuanza safari ya kubadilisha maisha yetu.

Inasikitisha hata pale mtoto anpokufa kwa malaria, kipindupindu n.k, utasikia wakisema Bwana alitwaa na Bwana ametwaa, jina la Bwana libarikiwe! TUBADILIKE!


Kweli Mkuu...Kumuachia mungu iwe hatua ya mwisho kabisa baada ya njia zote kushikana za uwezo alio tuumba nao mwenyezi mungu ili kuufanyia kazi.
Kama kila kitu angejua anaweza kufanya basi asinge tupa akili ya kufanya yote tunayo yafanya....sasa.Angekuwa anafanya automatic tu.
 
tabu waswahili wanafikiri kunauwezekano wa mafuta ya kuchota shida hizi taaaabu tupu
Kunawanaoenda kwania ya kuiba, wengine udaku + ujinga....Hasa la kwenda kukiba pale ajari inapotokea hapa TZ limezidi yaani wanawavua nguo maiti sijui wanazipela wapi, mfano ajari ya juzi ya Mohamed trans kunamaiti walimvua guo zote akabaki na chupi daah kweli TZ maisha magumu..
 
Duh hili ni balaa,tuache masihara sasa hvi Tanzania majanga yamekuwa mengi ndani ya kipindi kifupi,kuna haja ya kufanya ibada maalum kuiombea nchi yetu iondokane na hali hii.
 
Mimi nadhani ndio sababu Watanzania tunaendelea kuwa maskini. Tunategemea kuombea kila kitu ili kiende! Tuwaombee mafisadi waishe, viongozi watutawale vizuri, tuziombee barabara zijengeke, tuyaombee magonjwa ukiwemo ukimwi upotelee mbali!

Kweli hivi ndivyo, mbona basi tusifunge hospitali zote, vituo vyote vya huduma zikiwemo polisi zimamoto n.k tuwekeze nguvu zetu tu kwenye maombi!

Ni lazima tujenge uwezo wa kukabiliana na majanga kama haya, vinginevyo kama huwezi kujisaidia hata Mungu hana msaada kwako. Tunza na zizalishe talanta ulizopewa. Kazi ya kumsingizia Mungu tuiache, ndio kweli tutaweza kuanza safari ya kubadilisha maisha yetu.

Inasikitisha hata pale mtoto anpokufa kwa malaria, kipindupindu n.k, utasikia wakisema Bwana alitwaa na Bwana ametwaa, jina la Bwana libarikiwe! TUBADILIKE!

Ahsante sana kwa mawazo hayo, Nono.

Ila kitu kimoja tu niongeze, hakuna Mungu! Huyo Mungu mara ngapi mmemuomba awaepushie majanga hasikii, ni kichwa ngumu hivyo? Basi huyu ni useless godhead. Hakuna Mungu! Moto unawaka watu wanamwomba "Mungu zima moto." Kama angekuwa anaweza kuzima moto, na hataki uungue, basi asingewasha moto to begin with!
 
Back
Top Bottom