Based on Archimedes principle kama ilizama sehemu isiyo na kina na uzito wa ndani umepungua lazima ielee!
Ila hayo mambo huwezi sikia Nyasa wala Tanganyika as vina vyake ni balaa chini unakutana mpaka na mapango!
Mbona wale wapiga mbizi kutoka South walishindwa kuifikia?
Sioni relationship hap mkuu!Based on Archimedes principle kama ilizama sehemu isiyo na kina na uzito wa ndani umepungua lazima ielee!
Ila hayo mambo huwezi sikia Nyasa wala Tanganyika as vina vyake ni balaa chini unakutana mpaka na mapango!
Mbona wale wapiga mbizi kutoka South walishindwa kuifikia?