Katibukata
Senior Member
- Dec 27, 2007
- 182
- 11
Vyovyote vile, Daktari anayejali na kuwajibika alitakiwa kukupa maelezo ya kueleweka kabla ya kukushika.
Pia, wakati anakushika.. lazima alisema maneno fulani ... hapo ungewza kujua nia yake hasa. Kaka weka wazi zaidi mambo yako ili usaidiwe
Pia, wakati anakushika.. lazima alisema maneno fulani ... hapo ungewza kujua nia yake hasa. Kaka weka wazi zaidi mambo yako ili usaidiwe