William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,364
1. Kinachotokea hivi sasa ni kwamba Zitto anatupiwa lawama nzito na viongozi wanaotanguliza maslahi binafsi mbele katika chama chake Kwa nini leo hii kuteuliwa kwa Zitto kuchukuliwe kwamba ni kurubuniwa na kuteuliwa kwa mtu mwingine iwe ni sawa na halali na busara isiyomithilika? Kuna jambo limejificha hapa ambalo halizungumzwi.
2. Si tu kwamba katika habari hiyo ya gazeti Zitto alifanywa kuonekana kama msambaratishaji wa CHADEMA ambaye anatumiwa na CCM, bali pia ilijengeka taswira nyingine kwamba kijana mwingine wa chama hicho naye amepangwa kushughulikiwa kwa staili ya Zitto. Kijana huyo ni Mkurugenzi wa Vijana wa CHADEMA, John Mnyika.
Very interesting, ingawa ni none of our business, lakini ukweli ni kwamba it does not make a sense at all!
2. Si tu kwamba katika habari hiyo ya gazeti Zitto alifanywa kuonekana kama msambaratishaji wa CHADEMA ambaye anatumiwa na CCM, bali pia ilijengeka taswira nyingine kwamba kijana mwingine wa chama hicho naye amepangwa kushughulikiwa kwa staili ya Zitto. Kijana huyo ni Mkurugenzi wa Vijana wa CHADEMA, John Mnyika.
Very interesting, ingawa ni none of our business, lakini ukweli ni kwamba it does not make a sense at all!