MEDIA ownership in Tanzania

Game Theory

Platinum Member
Sep 5, 2006
8,545
835
Mengi vs Rostam NA wengineo. Hivi tumejifunza nini out of this saga kuhusus media ownership na responsibility in Tanzania?


2w2etqq.jpg



Tuombe kuwa hiii itakuwa balanced view on this saga
naomba hii thread itatazama mwelekeo tofauti wa hii issue.
 
umeishaibias thread yenyewe anyway.. next time try without showing a bias. Unakujana na mada nzuri kweli huwa mwenyewe ndiyo unaziharibu toka mwanzo.
 
umeishaibias thread yenyewe anyway.. next time try without showing a bias. Unakujana na mada nzuri kweli huwa mwenyewe ndiyo unaziharibu toka mwanzo.

Please dont even go there

tofauti yangu na wewe, mimi sina gazeti wala redio lakini wewe unavyo vyote ambavyo at most umekuwa mstari wa mbele kuonyesha bias yako especially kufanya interviews na Dr MASAU ambayo ilikuwa so biased na one sided

so please give me a break na lecture yako kuhusu bias
 
Personally nimejifunza kuwa kumbe HABARI CORPORATION iliyonunuliwa na Rostam from akina Ulimwengu had been an unregistered company kwa sababu zisizojulikana!

Kingine nilichojifunza ni kwamba hata BAADHI ya household members of JF ambao michango yao ilini-inspire nijiunge na ukumbi huu wameishia kuwa blind follower wa Rostam.Sijui ni hela za huyo fisadi au njaa za hao followers...it's hard to tell.

Cha mwisho,ugomvi huu umeniongezea dozi ya uzalendo.Na sapoti yangu ka Mengi ime-GROW ten fold.Huyo Muiran amekosea hesabu kwa kununua data feki kuhusu Mengi;ataumbuka mahakamani.

Walaaniwe mafisadi wote na wapambe wao,Amen!
 
Please dont even go there

tofauti yangu na wewe, mimi sina gazeti wala redio lakini wewe unavyo vyote ambavyo at most umekuwa mstari wa mbele kuonyesha bias yako especially kufanya interviews na Dr MASAU ambayo ilikuwa so biased na one sided

so please give me a break na lecture yako kuhusu bias

sikujua kuwa you hold me as your role model!

you need to learn to let things go... on owning media.. na wewe una uwezo ukipenda wa kuown chochote unachotaka... and run the way you want. But the logic kuwa kwa vile kuna watu wana bias kwenye vyombo vyao na wewe uwe bias ni logic ambayo defeat the whole idea..so.. from one biased individual to another.. keep it up.
 
Mengi vs Rostam NA wengineo. Hivi tumejifunza nini out of this saga kuhusus media ownership na responsibility in Tanzania?


2w2etqq.jpg



Tuombe kuwa hiii itakuwa balanced view on this saga
naomba hii thread itatazama mwelekeo tofauti wa hii issue.


Nimejifunza kuwa Mengi ni mzalendo halisi na Rostam na wengine ni wala nchi na pia wenye njaa kama nannniiiii mwapo wengie
 
Mengi vs Rostam NA wengineo. Hivi tumejifunza nini out of this saga kuhusus media ownership na responsibility in Tanzania?


Tuombe kuwa hiii itakuwa balanced view on this saga
naomba hii thread itatazama mwelekeo tofauti wa hii issue.


GT; NImejifunza yafuatayo;

  • Kuna kila uwezekano wa kuwatolea uvivu mafisadi papa
  • Mapapa ni waoga kuliko tulivyodhani
  • Maji yakiwa shingo hata Mapapa huanza kutapatapa kama walivyohangaika RA na Manji
  • Mengi amejipanga sawasawa [with evidences]
  • We dont have leaders in this country - mipasho ilipewa airtime kwenye national TV
  • saa ya ukombozi ni sasa
  • WATANZANIA SI MABWEGE TENA!!
 
sikujua kuwa you hold me as your role model!

you need to learn to let things go... on owning media.. na wewe una uwezo ukipenda wa kuown chochote unachotaka... and run the way you want. But the logic kuwa kwa vile kuna watu wana bias kwenye vyombo vyao na wewe uwe bias ni logic ambayo defeat the whole idea..so.. from one biased individual to another.. keep it up.
ohhh please, its you and not me who have been championing vendettas through your rag (cheche) and your KLH news radio...in my opinion i think you and your medium (KLH NEWS & CHHECHE) are just good at nothing but SOCKPUPUPPETING and if you didnt know what it is...


Via Wikipedia I've discovered a definition of internet sockpuppeting from the New York Times.

The act of creating a fake online identity to praise, defend or create the illusion of support for one's self, allies or company.


Wikipedia also makes this important point:

The key difference between a sockpuppet and a regular pseudonym...is the pretense that the puppet is a third party who is not affiliated with the puppeteer.
It goes on to list examples of noted individuals who have been caught sockpuppeting over the years. Is that list about to lengthen ? I guess so considering your Mumbo Jumbo supermarket journalism
 
Last edited:
-Rostam alikuwa amlipue Mengi kabla ya December 2008 hivyo data zake zote zilikuwa sawa kipindi hicho. Kwa maana nyingine walikuwa wakiwindana.
-Mengi alipata taarifa ya kutafutwa akihakikisha anafukia mashimo kipindi hicho.
-Mengi analipa wafanyakazi wake mishahara midogo alafu na kurudisha kwa kutoa so called misaada na dinner party.
-Rostam hatoe dinner party lakini nalipa mishahara mizuri wafanyakazi hako hivyo serikali inapata kodi stahiki kupitia PAYEE na serikali kujipangia yenyewe itumie je.
-Mengi ana facts za kujitea yeye kwamba sio fisadi nyangumi lakini hana facts za ku-prove kwa nini Rostam ni Fisadi Papa.
-Mengi ni mfanya biashara mtaalamu wa kutafuta huruma kutoka kwa wananchi wakati ushindani wa biashara ukiwa mgumu.
-Mengi ana kampuni fisadi inaitwa Ache Mwedu. Na hii haipigiwi chapuo kama IPP... ili kuficha madhambi. Bila Rostam mimi nisingeifahamu.
-Whether Ache Mwedu ilishinde rufaa au ishinde ukweli ni kwamba 5.8 billion zetu zimezama.
-Rostam is smart.
-Rostam alikurupuka kutumia data za December kudhani bado ziko vile vile... kesi aliyoipeleka Mengi Rostam atashindwa.
-Mengi hana moral authority ya kupiga vita ya ufisadi though ni Mzalendo.
-Mengi ana very few successfully business.
-Mengi ataingia kwenye siasa muda si mrefu... especially kama competion kwenye business itaendelea kuwa kali.
 
-Rostam alikuwa amlipue Mengi kabla ya December 2008 hivyo data zake zote zilikuwa sawa kipindi hicho. Kwa maana nyingine walikuwa wakiwindana.
-Mengi alipata taarifa ya kutafutwa akihakikisha anafukia mashimo kipindi hicho.
-Mengi analipa wafanyakazi wake mishahara midogo alafu na kurudisha kwa kutoa so called misaada na dinner party.
-Rostam hatoe dinner party lakini nalipa mishahara mizuri wafanyakazi hako hivyo serikali inapata kodi stahiki kupitia PAYEE na serikali kujipangia yenyewe itumie je.
-Mengi ana facts za kujitea yeye kwamba sio fisadi nyangumi lakini hana facts za ku-prove kwa nini Rostam ni Fisadi Papa.
-Mengi ni mfanya biashara mtaalamu wa kutafuta huruma kutoka kwa wananchi wakati ushindani wa biashara ukiwa mgumu.
-Mengi ana kampuni fisadi inaitwa Ache Mwedu. Na hii haipigiwi chapuo kama IPP... ili kuficha madhambi. Bila Rostam mimi nisingeifahamu.
-Whether Ache Mwedu ilishinde rufaa au ishinde ukweli ni kwamba 5.8 billion zetu zimezama.
-Rostam is smart.

-Rostam alikurupuka kutumia data za December kudhani bado ziko vile vile... kesi aliyoipeleka Mengi Rostam atashindwa.
-Mengi hana moral authority ya kupiga vita ya ufisadi though ni Mzalendo.
-Mengi ana very few successfully business.
-Mengi ataingia kwenye siasa muda si mrefu... especially kama competion kwenye business itaendelea kuwa kali.


Mimi hapa ndipo paliponichosha kabisa:

Lakini mbali na hayo, ngoja niwachekeshe kwa kuwaeleza jinsi mtu huyu alivyokubuhu katika kujenga chuki na fitina kwa kujifanya mtetezi wa wale anaowaita “wazawa“, huku akiwa na lengo la kujinufaisha binafsi kwa kutumia mgongo wa chuki na fitina hizo anazopandikiza.

Mwaka 1994, alitoa kauli zake zenye sumu ya ubaguzi pale alipodai kwamba sehemu kubwa ya maeneo ya katikati ya Jiji la Dar es Salaam inakaliwa na Watanzania wenye asili ya Kiasia na kwamba “wazawa“ hawapo katika maeneo hayo.

Aliyekuwa Rais wakati huo, Mzee Ali Hassan Mwinyi, akamuagiza Waziri aliyekuwa akishughulikia masuala ya ardhi, Mheshimiwa Edward Lowassa, kumpatia Mengi eneo kubwa la ardhi katikati ya jiji karibu na ilipo International House. Lakini mara tu alipopewa eneo hilo akaliuza kwa Fida Hussein, mfanyabishara Mtanzania mwenye asili ya Kiasia. Huyo ndiye Reginald Abraham Mengi,

btw Rostam ni OXFORD grad...
 
-Rostam hatoe dinner party lakini nalipa mishahara mizuri wafanyakazi hako hivyo serikali inapata kodi stahiki kupitia PAYEE na serikali kujipangia yenyewe itumie je.


Uwongo uliokubuhu. Kumbe tunalipwa vizuri kupitia kwako? Leta pesa zetu wewe kasheshe.

Wakati wa mishahara ya sector Madini ilikuwa 350,000 Caspian Mining Ltd ilidai kuwa walisajiliwa kama construction wakati ndo wachimbaji halisi.

Tumenyamaza tu kwa kuwa sio hoja ya msingi hii
 
Mengi vs Rostam NA wengineo. Hivi tumejifunza nini out of this saga kuhusus media ownership na responsibility in Tanzania?


2w2etqq.jpg



Tuombe kuwa hiii itakuwa balanced view on this saga
naomba hii thread itatazama mwelekeo tofauti wa hii issue.

nimejifunza kwamba
1. watanzania wako so bias na most of us are a bit stupid.
2. watanzania wakishindwa kujitetea wanaingiza rangi na dini.

to me the whole of this saga ni kwamba imenionyesha true colour of some tanzanians. It is so sad people cant judge things as they are. Watu kama wee mkuu GT kila siku unaingiza dini na rangi....you have really broke my heart.

I used to odore you ila sasa i really dont know who you are anymore, mdini, mkabila au mrangi. xox
 
Uwongo uliokubuhu. Kumbe tunalipwa vizuri kupitia kwako? Leta pesa zetu wewe kasheshe.

Wakati wa mishahara ya sector Madini ilikuwa 350,000 Caspian Mining Ltd ilidai kuwa walisajiliwa kama construction wakati ndo wachimbaji halisi.

Tumenyamaza tu kwa kuwa sio hoja ya msingi hii

hii ndo mpya niliyo jifunza sasa hivi, kwani caspian ni wachimbaji wa madini? mgodi upi? royality & other taxes wanalipa? ama ni another deep green?
 
nimejifunza kwamba
1. watanzania wako so bias na most of us are a bit stupid.
2. watanzania wakishindwa kujitetea wanaingiza rangi na dini.

to me the whole of this saga ni kwamba imenionyesha true colour of some tanzanians. It is so sad people cant judge things as they are. Watu kama wee mkuu GT kila siku unaingiza dini na rangi....you have really broke my heart.

I used to odore you ila sasa i really dont know who you are anymore, mdini, mkabila au mrangi. xox

thats where we always go wrong...tuko obsessed with personalities..dont hate the player..hate the game na the game humu ndani ni style and no substance so why should you play clean while everyone is playing dirty?

jaribu kuwa na alternative view uone kama watu watakukubalia...its a dog eat dog situation in here

Its sad lakini ndio ukweli wenyewe humu...
 
Kwa dhati kabisa, tumejifunza kwamba:
1-Baada ya watu kudharau media kwa muda mrefu hasa baada ya serikali ya Mkapa kusema "kelele za chura", sasa mageuzi ya kidunia yamesababisha media za Tanzania kusababisha hatua kadhaa kuchukuliwa na serikali bila yenyewe kupenda. Mifano ni kesi ya Mahalu, EPA, Alex Stewarts, Twin Towers, Radar etc na bado.

2. Kwamba sasa walioathirika wakaona, "kumbe media ndiyo iliwazindua watu macho na sisi tulidhani kuwanunua waandishi kutasaidia kuzitumia hizo media zao, kumbe bwana waandishi ni washenzi sana, ukiwanunua, wanapeleka story JF, Thisday, MwanaHalisi na RaiaMwema na sisi tunajikuta tumezidiwa" na baada ya hapo wanaamua kununua na kuanzisha media zao. Mifano, Habari Corp (bado kuna utata), Channel Ten, Taifa Tanzania, Tazama, Sauti Huru, Umma Tanzania na kadhalika na bado yako njiani. Lengo likawa kupambana kupooza makali ya tuhuma kwa gharama zozote. Hapo wamesahau kwamba media zilikuwa zinabeba ujumbe wa umma wa Watanzania ambao baadhi wako nao ndani ya kila wanalolifanya na hawataacha kuwaumbua. Watanzania wameamka na wanajua washirikiane na kina nani katika VITA MPYA YA UKOMBOZI KUPIGANIA UHURU WA KWELI.

3. Tumejifunza kwamba kuna watu waliowaponza ndugu zetu kina Mr &Mrs Benjamin Mkapa, Edward Lowassa, NAzir Karamagi, Basil Mramba, Gray Mgonja, Rajabu Maranda, Liyumba, MArehemu Balali na baadaye watawaponza kina, Laurence MAsha, Sophia Simba, Ngeleja, Mustafa Mkulo, Juma Reli na wengineo lakini wao wakaendelea kugonganisha glasi za wine majumbani mwao bila kuguswa na sasa anayejitokeza kuwagusa wanamshangaa sana.
 
hii ndo mpya niliyo jifunza sasa hivi, kwani caspian ni wachimbaji wa madini? mgodi upi? royality & other taxes wanalipa? ama ni another deep green?


Ni earthmovers yaani wanahamisha dunia. Kutengeneza mashimo na milima. This is typical mining kwani shida yote ipo hapa. Makampuni kama Barrick wana processing ore to gold wakati hawa ndo wachimbaji ore au uchimbaji kufikia ore.

Sijui kama umeelewa. Na Caspian walikataa kuwa wao si mining. Kwa kweli kama RA hapa angekubali tu walau kulipa min base ya 350,000 ningemuelewa.

Kimsingi kama mmliki untoa sera na yeye angekuwa wa kwanza kuwaambia executives wake wakubali tu yaishe.
 
Back
Top Bottom