Anfaal
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 1,154
- 113
Mechi ya Nigeria na Tanzania U23 kuelekea michuano ya Olimpiki imeahirishwa kutokana na mvua kubwa iliyonyesha Benin City na kufanya uwanja ujae maji. Baada ya ukaguzi, waamuzi walikubaliana kuwa mechi ni vyema iahirishwe. hivyo mechi hiyo itakuwa siku ya jumapili (kesho).