Kama uko afrika ya Mashariki ni saa sita usiku.wakuu nauliza mechi saa ngapi na itaonyeshwa kwenye channel namba ngapi kwa sisi tunaoangalia kwenye enternet na tuliojiunga na WH 2.......700
Kama uko afrika ya Mashariki ni saa sita usiku.
Belinda for Barcelona.. jamani tukutane Brajec!!
mi ntakuwa Bulls
ha ha..mbona jirani hivyo..basi nitahamia hapo! nimevaa t-shirt ya Barcelona..ukiniona utajua tu!
Makubwa leo kushabikia Barca....ama kweli Ronaldo kafulia....mi utaniona pia nitavaa t-shirt ya Arsenal ina picha ya Henry mbele na Messi nyuma....lolest.....!! Tukutane jukwaa la Barca basi!
ha ha..mbona jirani hivyo..basi nitahamia hapo! nimevaa t-shirt ya Barcelona..ukiniona utajua tu!
Mi' natumia huduma ya cable! Jamaa katuwekea SS7,inaonyesha mechi ya akina Drogber! Ni kweli DStv,hawaionyeshi mechi hiyo?