kweli soka la bongo tunababaisha kweli..wametoa maamzi yao ila kikatiba ya TFF na CAF zinapingana kabisa hayo maamzi kutokana na mazingira ya mechi yenyewe., Azam wasikubali wakate rufaa tena na watashinda na Mtibwa kushushwa daraja..wait time will tell kwan viongozi wa Azam ni makini sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.