Rubi
JF-Expert Member
- Oct 5, 2009
- 1,615
- 326
Leo 14 /6 katika kipindi cha Jambo kwenye taarifa ya habari nimesikia kuwa Spika wa Bunge la amependekeza mechi zote kuonyeshwa TBC1 na vipindi vya bunge vitakavyokuwa live wakati wa mechi za Kombe la dunia viwe vikionyeshwa kupitia TBC2. Hii ni kutokana na malalamiko mengi yaliyojitokeza kutoka kwa wanachi ambao hawangeweza kuona mechi hizo kupitia TBC2.
Binafsi nimefurahia hatua hii maana Hiyo TBC2 sielewi ni kwa nini ipatikane kwenye king'amuzi pekee au yenyewe sio ya Umma. mana nijuavyo kitu cha umma ni kwa faida ya wote mpka wasiokuwa na uwezo wa kununua vingamuzi.
Binafsi nimefurahia hatua hii maana Hiyo TBC2 sielewi ni kwa nini ipatikane kwenye king'amuzi pekee au yenyewe sio ya Umma. mana nijuavyo kitu cha umma ni kwa faida ya wote mpka wasiokuwa na uwezo wa kununua vingamuzi.