ney kush
JF-Expert Member
- Feb 16, 2012
- 1,368
- 843
kipindi tunaanza mapenzi alinionyesha sana love lakini sasa yupo chuo inafikia kiasi ananijibu hovyo,kunitukana,nikimwambia kitu haniskizi yanapomuharibikia anataka tusolve... mapenzi yetu yamekua ya kugombana kila wakati me nimechoka jana nikamwambia ukweli kwamba nimeshindwa... ila nampenda sana yani