BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,160
ushaona wapi mwenye pesa akafungwa?
sikosei hata mtoto wake atakuwa nasoma vyuo vikuu huko rhodes Ireland au califonia!:biggrin1::biggrin1: aisee nisiburi na mimi twende wote...huyu jaji usishangae mwezi ujao akawa anaendesha Q7 au RANGE ROVER SPORT dah!!
angekuwa mdogo wake na slaa,mbowe au lema sheria ingepindishwa na angehukumiwa kunyongwa mpaka kufa