Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,124
Ni vizuri na wewe ukatusaidia wengine kutueleza huyu ni Naibu waziri yupi?
naona na wewe umerukia kumponda huku wengine tukibaki hatuwaelewi...
Nikiitaja wizara nitakua nimevunja sheria za JF kwa kuwa si tayari jina litakua limejulikana?Najua huko aliko anashangaa kumbe hata kwa aID hii anajulikana?Bora arudie tu ID yake ya mwanzo