Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,272
- 105,471
He puts himself in the spotlight...so why should they lay off?
Ni ushamba tu kufikiri kwamba ukiwa kwenye spotlight, au ukipiga picha na mwanamke, basi ni tabloid material.
Hata tabloid nazo zinatakiwa kuwa na tabloid standards, this is beyond the yellow.
I mean kama Willy angekuwa anacheza na demu huku suruali iko magotini ningeelewa justification.
Sasa leo "mtoto wa Malecela" kupiga picha na vimwana ishakuwa issue? What kind of teetotaling are we advocating subconsciously?
I mean granted, Willy is a nincompoop with no sense of class, lakini this coverage makes him a victim, that's even tackier.