Mdahalo wa kuboresha mahusiano ya viongozi na wananchi

Alagwa

Member
May 30, 2012
95
85
Leo kunafanyika mchhezo mchafu kama wewe ni muelewa utaelewa kinacho fanyika hapa. Leo kuna mdahalo wa KUBORESHA MAHUSIANO YA VIONGOZI NA WANANCHI( swala ni zuri na lenye maada kubwa sana kwa jamii na maendeleo ya taifa) Watakao shiriki ni mbunge wa mbulu (WA CHADEMA) na madiwani wote na wananchi wa wilaya ya Mbulu. Mgeni rasmi ni mkuu wa wilaya ya mbulu( Huyu ni sisim na ukumbuke kuwa mbunge ni chadema je mgeni rasmi ata simama kama mgeni rasmi au ataende lea na ile kauli ya kisism sisim na kumbukeni mdahalo huu utahudhuriwa na wananchi wote wakiuliza maswali kwa wawakilishi (MBUNGE) ALAFU MKUU WA WILAYA NDIO KUONGOZI WA MDAHALO. Je sifa za mtu kuwa mgeni rasmi katika tukio kama ili ni zipi? Mdahalo utarushwa kupitia REDIO HABARI NJEMA F.M 87.5 kama upo manyara unaweza pata yote yatakayo jiri
 
Ukishakuwa kamanda ndani ya gwanda hakuna hofu hapo nadhani wa kukimbia huo mdahalo ni huyo gamba sijui mkuu wa wilaya maana wao wanaongozwa na ufisadi huku mbunge akiwa na nguvu ya umma uliomchagua
 
sasa uchafu ndio upi hapo ina maana ccm na chadema hawapaswi kukaa pamoja.ubaguzi mnaanza mapema kabla hata hamjapewa nchi. C ndio mnadai eti tujenge nchi kwa kuondoa tofauti zetu za kidini,kikabila na kipato sasa hili latoka wapi.au mkifika tano mnasahau km mmepitia mbili.
 
Hata sikumoja huwezi kumwita kiongozi wa chama kuwa mgeni rasmi katika majadiliano ya wananchi na kiongozi wa chama pinzani huoni kama atamkandamiza mwenzake
 
Back
Top Bottom