wahusika ni kinanani? je kuna media yoyote iliyopo hapo kwa kurusha huo mdaharo?
Mbona chenga kunani huko?
hakuna redio inayorusha? huku wengine tanesco washafanya matusi yao....f...ck tanesco.....wahusika ni wananchi wote popote walipo ila tu huu mdahalo unafanyika hapa SAUT waliohudhuria ni wanafunzi kutoka vyuo mbalimbali vya hapa mwanza. Star tv wanarusha live huu mdahalo try to tune.!
Dr Makulilo anasema muungano ni mali ya ccm kwasababu mwaka 1977 ASP na TANU viliungana kuunda CCM