Mdahalo wa katiba ITV

Binafsi sikuusikliza tangu mwanzo ila mwishoni nimeona Francis Kiwanga akisema Jukwaa la Katiba litaandaa maandamo nchi nzima yasiyokuwa na kikomo, wasiwasi wangu ni watu wa Dar wanatuangusha mno, ila kuchangia kwenye mtandao ni wazuri kweli, linapokuja suala la kujitoa mhanga kwa ajili ya kizazi kijacho wanarudi nyuma. Inahitajika nguvu ya umma na kuwa seriously.
 
kwa hiyo hiyo midaharo inagawa heal!! Wavivu tu nyinyi mnakaa tu kwa kuandika upupu kwa kuwa mnaishi mijini mna uhakika wa chaaakula... Tembeleeni vijijini muone watua wanavoishi kwa mlo mmoja...if u realy care why cant u show up na hlp ur felow tanzania.
Nadhani ht hivi wanavyohamasishana pia ni msaada mkubwa coz km katiba itazingatia haya watu wanayopigania ni uko
mbozi tosha kwa hao watu wa vijijini unaotaka wasaidiwe, najua unafahamu umuhimu wa huo mdahalo ila basi tu......
 
natabiri kuwa swala la katiba may be linaweza kuiondoa serikali ya CCM madarakani kama yaliyotokea Libya na Tunisia kwa kitendo chao cha kutaka kutia mkono kwenye swala zima la katiba kama hawatawaacha watanzania wenyewe waamue kwa uhuru na haki badala ya kutaka ku control mjadala
mzima na kutaka kutumia wingi wao bungeni na Urais kutaka kuwaburudha watanzania.
 
Back
Top Bottom