ossy
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 872
- 143
cjakupa mkuu! mbona umekurupuka?"Mbunge na mshahara wa Milioni 7 mbali na posho ya jimbo na mafuta ya gari lake, mshahara wa dereva wake 450, ila wanawapunja wanawapa 150,000/-" Renatus Mkinga amechangia hivyo na anajiita mwanaharakati. Hivi kweli ana data huyu?