Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
mwenyekiti wa wafanyakazi anasema kama wabunge(ccm) wataupitisha mswada kwa unafiki wa kusema ndio waupitishe mswada anasema wataupinga kwa namna yyt
waoga ni maafui wa Mungu... wabongo tufe kwa kudai katiba yetu.... mama mchangiaji anasema...