Tina
JF-Expert Member
- Jul 9, 2007
- 572
- 579
Habari za kutoka ndani ya Tume ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) nilikokua leo, zinasema kwamba tume hiyo imeitaka ITV kujitetea kwanini isichukuliwe hatua za kisheria kwa kuonyesha LIVE mdahalo wa katiba uliohusisha wanaharakati na wanasheria wa Jukwaa la Katiba.