njiwa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 12,368
- 5,511
Uwezi kumfananisha na Mchungaji Slaa, huyu ni mapepe kabisa
Slaa hayuko makini kwa sababu:
a - Kaacha mambo ya mungu akakimbilia siasa, nawakati huohuo kondoo wake wanazidi kupotea
b - Kavamia na kuowa mwanamke wa mtu bila kufanya uchunguzi, hii ni hatari kwa mtu kama huyu kumpa madaraka angalau ya kijiji
c - Alikuwa CCM, alipokosa ubunge kaamia chadema kwa ajili ya kujenga mtandao wa kanisa
d - Kavunja sheria ya kikatoliki, kama yeye padiri haruhusiwi kuowa na pia kuacha, yeye mchungaji Slaa kavunja yote.
e - Kakumbatia ukabila na udini ndani ya chama chake, kashindwa kabisa kuvunja mtandao wa cancer ndani ya chadema
f - Hanakisomo na waliomzunguuka kama Mbowe nk. nchi hii haiendeshwi kwa kutumia elimu ya bibilia.
g - na mengineyo
Kumuachia Slaa nchi ni ku- commit suicide !!!!
HEHEHEHE! AHSANTE!
:smile-big: