muonamambo
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 875
- 545
anazungumzid madaraka makubwa ya rais na matumizi mabaya anatoa mfano wa baraza la mawaziri 60 kwamba ilikula pesa ya walipa kodi
Nipo hapa kando ya TV kwa kweli naomba umeme usikatike.
Bongo Radio--Tanzania Best Radio for Bongo Flava, Zilipendwa, Muziki Wa Dansi and African Musicmnafaidi peke yenu tu, tupeni link nasi tujionee au hata sauti tupate yanayojiri jamani. Hyuy Dr ni mtu muhimu sana hivyo tunahitaji kujua kila kinachoendelea live kama nyie huko.
<br />dr wa ukweli anashusha nondo .ametulia na ukumbi uko kimya .ameanza na mabadiliko ya katiba hasa madaraka ya rais.
mnafaidi peke yenu tu, tupeni link nasi tujionee au hata sauti tupate yanayojiri jamani. Hyuy Dr ni mtu muhimu sana hivyo tunahitaji kujua kila kinachoendelea live kama nyie huko.
Tehetehetehetehhhhhhh wanafaidi nini mkuu, huko kwenu TANESCO wameharibu mambo nini!mwe mlio dar mnafaudu kweli
mwe mlio dar mnafaudu kweli
Mkuu endelea kutuhabarishaMasuala yatakayo jadiliwa leo ni kama yafuatayo
- Makazi
- rasilimali
- mfumo wa kodi
- maslahi ya wafanyakazi
- suala la uwajibikaji
- jumuiya ya afrika mashariki