Sasa mtu wetu tupo mbali na nchi uku asia na redio ambayo ipo online ni redio maria na hawarushi hewani na hakuna tv za bongo on line kama vipi tuhabalishe kil baada ya mda nini chaendelea
Ameanza kuongea Dr. slaa na amewashukuru watanzania na anasema kuhusu mabadiliko makubwa na msingi wa uendeshji wa nchi na mambo ya katiba na pia wananchi wanaburuzwa na madaraka mikoani na halmashauri.
Namfuatilia kwa makini mh. Dr. Slaa. Hakika huyu ndiye Rais wetu ajaye. Naanza kuamini kuwa kumbe tuna watu ambao ni zaidi ya almas. Watanzania tumtunze, tulikuwa tumepotea tumpe kura zetu aturudishe kanani.
Mabadiliko muhimu yanayotakiwa kufanywa
- mamlaka ya mkuu wa nchi ( kupunguza madaraka kwa mkuu wa nchi ili kuongeza uwajibikaji ) kuweka mamlaka yaliyo wazi , kugawanya mamlaka kwenye serikali , bunge na mahakama
Mabadiliko ya katiba kwa kupunguza madaraka ya rais, na kupunguza matumizi ya serikali. hapa ndio watu wengi wanalia hasa rais anapokuwa na madaraka makubwa na hakuna wa kumuadabisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.