Rugemeleza
JF-Expert Member
- Oct 26, 2009
- 668
- 136
Hii ni habari nzuri lakini mngefanya mipango matangazo hayo yatangazwe kwa njia ya redio ili hata wale wasio na luninga waweze kumsikia Dr. Slaa huu ni wakati wa lala salama kwa kila njia ya kufikisha ujumbe itumike.Napenda kuwajulisha kwamba mdahalo wa DR SLAA Uliorushwa na ITV LIVE
siku ya Jumamosi kuanzia saa 12 moaka saa 3 utarudiwa leo saa 5 usiku
Hata hivyo Kuna vipindi vingine vinaandaliwa sasa hivi kwa ajili ya
Mgombea huyu - tutaongea na wahusika wengine tujue gharama zake zikoje
na jinsi tutakavyoweza kuchangia kwa namna moja au nyingine kabla ya
tarehe 31 yaani siku ya kupiga kura