Anheuser
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 1,944
- 662
Kwa hiyo unakiri kwamba kuna wengine wao wamefanya uhalifu na dhambi!Muwasake kwa uhalifu gani waliofanya au ndio tunataka wahukumiwe kwa dhambi walizofanya wengine?
Kwa hiyo unakiri kwamba kuna wengine wao wamefanya uhalifu na dhambi!Muwasake kwa uhalifu gani waliofanya au ndio tunataka wahukumiwe kwa dhambi walizofanya wengine?
Kwa hiyo unakiri kwamba kuna wengine wao wamefanya uhalifu na dhambi!
Kuna kundi la watu ambao miongoni mwao hakuna aliyefanya dhambi?
Waarabu? Wazungu? Wabantu?
Dhambi ya ubaguzi, sisi wabantu kihistoria hatujafanya.Kuna kundi la watu ambao miongoni mwao hakuna aliyefanya dhambi?
Waarabu? Wazungu? Wabantu?
Dhambi ya ubaguzi, sisi wabantu kihistoria hatujafanya.
Mhindi na Mwarabu amefanya dhambi ya kumbagua Mtanzania, kihistoria?
Kwa namna ipi?Kwa namna ipi?
Mie nimeomba definition tu ya Mtanzania Muarabu na Mtanzania Mhindi na hadi sasa hapa tulipofika nimepata kutoka kwa mtu mmoja tu - Anheusier. Na hiyo definition aliyoitoa sina hata uhakika kama ndio definition inayotumiwa na watu wote humu ndani
Kwani kuna tatizo kwenye kutaka kueleweshwa?
I have written about this topic before and I feel like I need to revisit it. It seems that our country is becoming more and more homogenous when it comes to racial make up of the top echelon of our country's leadership. ALL high positions of the country are being held by the racial majority - blacks. I'm more concerned about the Union Government:
Have a Look ( I don't mind kusahihishwa kama sitakuwa sahihi katika observation yangu):
Ikulu: Rais, Makamu - wote weusi
Waziri Mkuu - Mweusi
Mawaziri wote - weusi
Manaibu Wote - weusi
Mahakama
- Majaji wote wa Mahakama ya rufani (nadhani wapo watatu ambao wamechangia damu -sasa sijui tunatumia kipimo cha damu kidogo ya mwarabu we ni mwarabu au cha Wamarekani damu kidogo ya mweusi we ni mweusi!)!
- Majaji wote wa Mahakama Kuu ni weusi (sina uhakika waliochangia)
- Mahakimu sijui (lakini predominantly ni weusi bado - nakumbuka aliwahi kuwepo hakimu mmoja Mhindi sijui kama yupo)
Bungeni
Spika na Naibu Spika - weusi
Wenyeviti wote wa Kamati za KUdumu (ziko 17) - weusi
Jeshi la Polisi
IGP - Mweusi
Makamisha 4 wa juu - weusi
Makamanda wote wa Mikoa (nadhani ukiondoa mmoja - sikumbuki) ni weusi
(zamani walikuwepo polisi wa kigoa na singasinga)
Jeshi la Wananchi
Uongozi wake wote ni weusi!
Of course baada ya uhuru walikuwepo wazungu wachache waliobakia na wengine kupigana vita ya Kagera.
Naweza kwenda mbele na mbele; Hili linaniacha na maswali fulani ya kuchokoza:
a. Yawezekana tumekuwa ni taifa la wabaguzi wa rangi kuliko tunavyoweza kukubali?
b. Ukiondoa taasisi ambazo zinapandisha vyeo kwa merit ya ndani kwa ndani (polisi na jeshi); taasisi nyingine zinapata watendaji wake kwa kuteuliwa; hivi hakuna Mtanzania yeyote ambaye ni minority ambaye anafaa kuwa jaji? Yaani, kati ya wanasheria wote (na wapo wengi tu minority) hakuna anayeweza kupewa ujaji baada ya rekodi yake kuonesha kuwa anafaa?
c. Je serikali yawezekana haina mpango wowote wa kujaribu kurecruit minorities kwenye serikali yetu? Sijawahi kuona polisi au jeshi wakijaribu kuvutia watu wa minority - kwanini wakati baada ya uhuru tulikuwepo na vijana walioingia kwenye taasisi hizo na wakapanda vyeo taratibu? Ni kweli wahindi hawawezi kazi za polisi au jeshi (huko India nani anazifanya au Pakistani)?
d. Ni kwanini racially minority hawaonekani kwenye uongozi wa juu wa taifa letu kwenye maeneo YOTE? IS THERE ARE SYSTEMATIC DISCRIMINATION GOING ON?
Ikumbukwe kuwa Tanzania ilipozaliwa ilizaliwa ikiwa na tofauti moja kubwa - rangi haikutakiwa kuwa kigezo cha mtu yeyote kupewa au kunyimwa kazi katika Tanzania kama yeye ni Mtanzania. Tulikataa kabisa ubaguzi wa rangi na Nyerere alionesha hilo kwenye Jamhuri ya Kwanza na hata baada ya Muungano. What went wrong?
What is going On? Should we care? au watu weusi wamejiaminisha kuwa wao ndio "Watanzania zaidi" ndio "wazawa" hivyo "wanastahili zaidi"? Au wapo watu wanaamini kuwa "wahindi na waarabu" walishatutawala n.k n.k n.k hivyo hawastahili? Inawezekana kuna watu ambao akichaguliwa Waziri au kiongozi wa juu mahali fulani watawakuwa kama yule aliyelia baada ya Richa Adhia kuvaa taji la Miss Tanzania?
Je kuna umuhimu wowote wa Tanzania kuhakikisha kuwa hakuna systematic discrimination au kuwaacha minority pembeni? Fikiria US kwa mfano weusi wanamake up about 12-13 percent ya population lakini leo wanaye hadi Rais mweusi! Au Wamarekani wako mbali sana katika haya mambo ya rangi?
mfano adamjee aliyewahi kuwa mbunge wa kawe, ni mtanzania mhindi,
Hakuna tatizo katika kueleweshana. Hata hivyo namna unavyoweka arguments zako inaonesha wazi kuwa umekerwa na mjadala kwa ujumla hivyo unaanza kuutikisa kwa kutafuta namna ya kuuzima. Ni sawa mtu aje akwambie "Gaijin naomba shilingi mia" halafu wewe uanze kumuuliza "Shilingi mia ya Kenya, Uganda au Tanzania?" au umuulize "Mia moja ni baada ya 99 au kabla ya 101?"
Nadhani ulitakiwa kuangalia mazingira ya "Kitanzania" juu ya Wahindi na Waarabu jambo ambalo kila siku linasemwa unless wewe "mwenzetu" si "mwenzetu"! (Usianze tena kuniuliza mwenzetu maana yake nini na scope yake ni ipi?). Kitendo cha wewe kusema MMJ amesema "Waarab" badala ya "Waarabu" kinaonesha kuwa una dhamira iliyojificha ama maslahi binafsi juu ya mjadala huu, ungeweza tu kusahihisha kwa kutafsiri Waarabu. Angalia usije ukani-challange kwa makosa ya spelling!! (Nimekosea spelling ya neno Challenge kwa makusudi).
Otherwise, kwa ninavyoufahamu weledi wako (Hapa JF) najua kabisa (Siyo kwamba naamini) kuwa umeelewa kinachosemwa hapa. Nice day to you Gaijin.
Mtanznia Muarabu ni Mtanzania mwenye asili ya kiarabu , na Mhindi Mtanzania ni Mtanzania mwenye asili ya khindiSasa unataka kunipangia cha kufanya?
Nauliza tena Mtanzania Muarabu na Mtanzania Mhindi ni nani?
Ahsante
Mkuu, Mbunge wa Mwanza mji Ezekiel Wenje, hana asili ya Kenya na yeye tutamuitaje?
Kwa upande wa wahindi tuna tatizo kubwa, ni wahindi kwa maana ya foreigners kwanza halafu -wasafiri walioko Tanzania kwa muda second. Ni wahindi wachache mno wanajihesabu kama watanzania. Wengine wote utafikiri wako safarini kuelekea somewhere else.
nambie jembe langu....."ashia" ndio kitu gani?
mkuu naona umechanganya mambo hapo.Mkuu, Mbunge wa Mwanza mji Ezekiel Wenje, hana asili ya Kenya na yeye tutamuitaje?mfano adamjee aliyewahi kuwa mbunge wa kawe, ni mtanzania mhindi,