Mdahalo: Ndugai vs Lissu - Jumamosi Julai 30

Status
Not open for further replies.
Hapo matokeo yanafahamika tu kwani hakutakuwa na kivuli cha kanuni za bunge kumficha mtu asiaibishwe.
 
kwa sheria za bunge Tundu ataumbuka, hazijui, ama sheria za nje ya bunge Tundu anazifahamu sema tatizo lake hajui kujenga hoja kwa lugha ya kawaida huwa anajenga hoja kwa lugha ya jaziba sana. kitu ambacho mimi siamini kama mtu kujenga hoja mpaka utumie jaziba
Labda kama sheria zimebadilika lakini kama ni hizi zinazoendelea sasa Ndugai hana ubavu, acha ushabiki zungumzia facts
 
Sijaona logic ya kuwakutanisha hawa wawili bse hawafanani ni sawa na pambano la ngumi la matumla vs tyson!ni mwendo wa knock out
Yangu macho mtasikia mtu ameomba udhuru apo!
 
Ndungai hana uwezo wa kuargue hata na diwani wa CHADEMA achilia mbali kamanda Lissu.
Nadhani ili kukwepa kudhalilika Ndungai atakimbia mdahalo. (hatahudhuria kwa kisingizio cha kupata dharura).
 
ndugai anatakiwa aende prepo leo ili kesho japo afikie nusu ya uweo wa lissu. i can't wait to see this
 
kwa sheria za bunge Tundu ataumbuka, hazijui, ama sheria za nje ya bunge Tundu anazifahamu sema tatizo lake hajui kujenga hoja kwa lugha ya kawaida huwa anajenga hoja kwa lugha ya jaziba sana. kitu ambacho mimi siamini kama mtu kujenga hoja mpaka utumie jaziba
Na hiyo lugha ya Jazba ni lugha gani wakati bunge ni lugha ya Kiswahili na Kiingereza tuu ndicho kinachotumika.
 
Natamani Ningekuwa Ndugai,ningemtoa nje kwamba anani-interupt.....kwa kanuni za bunge,ila hata kama akinishinda nitamtoa bungeni jumatatu kwamba alinisumbua kwenye mdahalo
 
aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaagh!.........huu ni udhalilishaji. Chadema wamepanga hili ili kujipatia umaarufu wa bei chee. Tundu Lissu awekewe mdahalo na Samwel Sitta.
 
MODERATOR ni yule mama Mwakitwange..aliyekuwa anampendelea Slaa wakati ule? Nakumbuka alikiona cha moto kutoka kwa CUF!
 
aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaagh!.........huu ni udhalilishaji. Chadema wamepanga hili ili kujipatia umaarufu wa bei chee. <b>Tundu Lissu awekewe mdahalo na Samwel Sitta.</b>
<br />
<br />
Usiropoke
Angalia waandaaji,
Then uanze walaumu ChADEMA.
 
jamani imekuwaje huo mdahalo? mie nilikuwa nasikiliza ule wa katiba kwenye simu yangu coz sipo karibu na runinga
 
aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaagh!.........huu ni udhalilishaji. Chadema wamepanga hili ili kujipatia umaarufu wa bei chee. <b>Tundu Lissu awekewe mdahalo na Samwel Sitta.</b>
<br />
<br />
kwani sitta ana nini? Hata angeenda na CCJ wenzake Nape, Mwakyembe, n.k
 
MODERATOR ni yule mama Mwakitwange..aliyekuwa anampendelea Slaa wakati ule? Nakumbuka alikiona cha moto kutoka kwa CUF!
<br />
<br />
duh mbona umekata tamaa mapema kiasi hicho why? Kwa nini?

Ndugai lazima aombe poo kudadeki....
 
Ofisi ya Spika inajidhalilisha kwa kuingia mdahalo usio mizani, zaidi ya hapo inajifungamanisha na chama tawala.

Kofia ya ofisi ya spika haipaswi kuchanganywa na siasa za vyama.

But I guess everyone is so souped up about mdahalo hatulioni hili kama tatizo.

Sijawahi kusikia speaker of the commons anaenda ( in that capacity) kwenye ki extra-parliamentary debate na leader of the opposition, to what end?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom