Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,474
- 39,987
Mkuu situation tuliyonayo ni a desparate one,wananchi hawako desparate kwasababu hawatambui haki zao ama kwa kifupi,hawajitambui.Kwahiyo kama m4c inawapa elimu ya uraia,basi watajitambuwa,na wakishajitambuwa,then watagunduwa kuwa wako desparate.Na wakishagunduwa hivyo,watakuwa desparate for change.
Mtu mwenye njaa huwezi kumweka chini na kumpa semina ya kuelewa kuwa ana njaa. Huwezi kumfanya ajitambue kuwa ana njaa.