MDAHALO: M4C, Hatima ni Mageuzi au Mapinduzi?

Baada ya kukusoma , nimegundua kwamba we ni mwoga wa mabadiliko. Mtu yeyote anayeogopa kubadilika kutoka sehemu moja kwenda nyingine hawezi kupata maendeleo.
 
Naona unakubali kwamba Tanzania inahitaji mabadiliko (change). Sasa sijui umekwazika wapi na M4C?
 
kwa hiyo unatushauri nini na maneno yako mengi yasiyo na hekima??????

Mtoa mada kazungumza hoja nzuri. Let's talk about issues tusiwe wepesi wa kukurupuka, tukubali changamoto ili tuweze kupima afya ya fikra zetu, kama wanachama/wafuasi wa CDM lazima tukubali changamoto, lazima tutafsiri mabadiliko ambao tunayahubiri.

Tusipokubali changamoto, tunakubali kufunga mirija ya fikra zetu.

My Take, Tujikite kwenye hoja
 
mtoa mada kazungumza hoja nzuri. Let's talk about issues tusiwe wepesi wa kukurupuka, tukubali changamoto ili tuweze kupima afya ya fikra zetu, kama wanachama/wafuasi wa cdm lazima tukubali changamoto, lazima tutafsiri mabadiliko ambao tunayahubiri.

Tusipokubali changamoto, tunakubali kufunga mirija ya fikra zetu.

My take, tujikite kwenye hoja
actually mie sijakurupuka nimesom na nikaelewa izo pumba za kutokuwa na kujiamini,wewe ndo umekurupuka kubishana na maoni yangu,halafu wewe unamtazamo wako na mie ninamtazamo wangu,kama wewe unaelement za kuona umeshindwa hata kabla hujafanya kitu ,ni wewe so ujsilazimishe na wengine wawe kama wewe,
 
Lawama bila kutoa mawazo mbadala ni ushahidi wa kutojua ama chuki tu. Hayo mabadiliko unayotaka umeshindwa kuyaainisha na kuyadurusu ili tukuelewe.

Badala yake umejenga hoja yako kwenye hisia na woga huku ukifanya kosa lile la kuficha ajenda yako.

Hivyo, pamoja na kuandika gazeti hukufanikiwa kushawishi wala kueleza ulichotaka kueleza. Umepoteza muda wako mwingi bure kwa kutoa hoja zisizo na mashiko wala ukweli. Hujaja na hata chembe ya utafiti. Hivyo kunywa maji ulale dogo Shayu.
 
Dhana ya M4C ya chadema sijaielewa kabisa. Ndio maana mimi naiita "movement for power" na hii M4C ni kivuli tu cha kufikia malengo yao ambayo kwa uhakika sio yenye malengo ya kuleta mabadiliko katika nchi yetu.
Pole sana!

 
Pascal umemsifia sana mchambuzi na kwa kweli anastahili sifa ulizompa- he really deserve the praise, ila sijaona comments zako kwenye thread ya Aweda ambayo imegusa maslahi ya bosi wako Lowasa. Naomba maoni yako kuhusu mada ya Aweda ya Sumaye kumvaa Lowasa. Nimekusubiri toka jana.
EL sio bosi wangu, bali mimi ni shabiki wake!. He is now a gone case anasubiri tuu kuwa disposed off!, the new sailing ship is Membe!.
 
Kijana unajua maana ya hekima? Ningependa ukae chini utafakari hutaweza kunielewa ukinisoma kama kitabu cha hadithi. Tujaribu ku discuss ideas ili hata kama mjadala uwe ba dira.
 
actually mie sijakurupuka nimesom na nikaelewa izo pumba za kutokuwa na kujiamini,wewe ndo umekurupuka kubishana na maoni yangu,halafu wewe unamtazamo wako na mie ninamtazamo wangu,kama wewe unaelement za kuona umeshindwa hata kabla hujafanya kitu ,ni wewe so ujsilazimishe na wengine wawe kama wewe,

Let's talk about issues
 
Kijana unajua maana ya hekima? Ningependa ukae chini utafakari hutaweza kunielewa ukinisoma kama kitabu cha hadithi. Tujaribu ku discuss ideas ili hata kama mjadala uwe ba dira.

Wewe binafsi ulifanya research kuhusu m4c ukagunduwa kuwa ina nia gani??
Unaweza kuorodhesha baadhi ya malengo ya m4c yaliyotolewa na chadema alafu uyachambue moja baada ya jingine na uonyeshe walakini wa kuwa hayana nia ya mabadiliko bila kugeneralize?
Unaweza kuelezea in details kuhusu m4c alafu ndo uainishe madhaifu yaliyopelekea wewe kuandika haya???
Tofauti na hapo tutakuwa tunajidili hisia zako pasipo facts.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Mchambuzi,

..isije ukawa unatumia neno mapinduzi ili kuwatisha watu.

..najua nyinyi wana-CCM ni wajanja sana kutumia maneno na kuhadaa na kuwatisha wananchi.

..kumbuka kwamba CCM maana yake Chama Cha Mapinduzi.

..we just need a better Tanzania, sasa wewe ukiita mageuzi, mageuko, mapinduzi, hiyo ni juu yako.
 
Last edited by a moderator:
wherevr men iwe movement 4change au movement 4power,2mechoka wiz na ufisad so we want change.kiongoz ambaye wa2tunamadmire mwenye virtue wisdom na intelgent ni dr. Slaa
 
Mtoa mada ungetoa ufafanuzi wa mapungufu uliyoyabaini kwenye M4C kisha mapendekezo ya kuboresha. Lakini umeanza kwa kusema huielewi M4C KABISA. Sasa najiuliza unakosoa ideology ambayo mwenyewe unakiri kabisa huelewi?

Nashauri unge study kwanza ukaelewa vizuri kisha uje na maeneo yaliyo kaa vizuri na orodha ya mapungufu na ushauri namna ya kuboresha.
 
Mtoa mada ungetoa ufafanuzi wa mapungufu uliyoyabaini kwenye M4C kisha mapendekezo ya kuboresha. Lakini umeanza kwa kusema huielewi M4C KABISA. Sasa najiuliza unakosoa ideology ambayo mwenyewe unakiri kabisa huelewi?
Nashauri unge study kwanza ukaelewa vizuri kisha uje na maeneo yaliyo kaa vizuri na orodha ya mapungufu na ushauri namna ya kuboresha.

Well said mkuu!
 
Mimi siongelea kuhusu hisia hapa naongelea ''fact'' huo ndio ukweli.Wanachofanya ni kutaka kuondoa Regime tu lakini hakuna specific program ambazo watakuja ku implement ili ku transform jamii yetu. Sidhani na wala sifikirii mabadiliko yeyote yatakayoletwa na Chadema zaidi ya Change of the Regime only. Iam sure Hata CCM wakiondoka tuta replace Another ''Beast'' on the Seat of AUTHORITY. Ukweli ni kwamba Chadema wana same mentality na vision ya uongozi sawasawa na CCM. Ni fikra zilezile Viongozi wengi wa Afrika walizonazo. Unataka unifikirishe chadema itakuwa mkombozi wa Taifa hili? italeta umoja na mshikamano na kujitegemea kwa Taifa hili? Tunahitaji revolutionary thinking zaidi ya kuindoa CCM madarakani tunahitaji Total transformation of our society na hii inahitaji program thabiti. Chadema haina program dhabiti ya kufanya nchi hii iwe transformed tuna matatizo mengi mno. Total transformation of thinking ndio tunayohitaji. We need to induce National self determination in our people. ili watu wetu wawe determined kujenga Taifa ambalo wana picha nalo. Niambie chadema wanataka kujenga Taifa la namna gani? Kuzungumzia uchumi tu haitoshi kuna social transformation, political transformation na jinsi gani tutabadilisha mentality za watu. Aina ya Education ambayo tuta induce kwa watu wetu ili wawe watu wenye kufikiri na kutawala mazingira yao na kuheshimu Taifa lao. ili wawe productive kwa Taifa. Tutaangalia vipi discipline zao na tunajua without discipline nothing big can be archieved. Tunahitaji watu walioelimika na tunahitaji kuona wakiwa chanzo cha mabadiliko. Kwahiyo workforce yetu haijawa much productive, Elimu yetu haijatusaidia vilivyo kututoa hapa tulipo. Tunahitaji watuelezee watafanyeje. Kwasababu elimu tunayoitoa tunahitaji ilete mabadiliko, ili Taifa letu lijitegemee.

Tunajua vijana ndio Work force ya nchi yeyote wana agenda gani ya kuwajenga zaidi ya kuwatumia kuingia madarakani? Tutawajenga vijana wetu kwa kuwa transform jinsi wanavyofikiri kuhusu Taifa lao kwa kuwaingizia uzalendo na uwajibikaji ili wakue wawe Raia wema, baba bora na mama bora. Tunahitaji kujenga vijana wawe wenye fikra bora.

Maadili pia ndani ya chama ni mabovu kama chama hakina order na discipline wakati hakiko madarakani kikiingia kitafanya nini? Chama chochote kitacho komboa Taifa hili ni kile viongozi wake wana maadili, kina Order na discipline ndani yake na viongozi wake wanaheshimiana na wanaongozwa na dira moja tu Utanzania.
 
Mimi mtoa hoja nimemuelewa, moja he is just like waoga wa mabadiliko and himzelf yuko undicided! Kuna vitu vingi haelewi
 
Nadhani iko wazi kwa sasa CCM inaungwa mkono na wachache wanaonufaika na jasho la wachache na kutaka kuutunza mfumo huo unaokandamiza na usiokubalika na wengi.
M4C ni kama Virus kwa CCM hawawezi kumkubali,lakini ndo ameshaingia,kupona lazima mauti ya chama kimoja yatokee kwa kingine kushika hatamu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom