Mdahalo kesho: Muungano na Tanzania tunayoitaka

Lua

JF-Expert Member
May 19, 2011
704
305
Mbunge wa ubungo, John Mnyika atakuwa mmoja wa wazungumzaji kwenye mdaharo kuhusu Muungano na Tanzania Tunayoitaka, kesho tarehe 4 disemba katika hotel ya movenpick/serena kuanzia saa 10 na nusu jioni na kurushwa live na startv kuanzia saa 11 jioni. ofisi ya mbunge ubungo inakualika kujumuika naye. Tafadhali thibitisha kushiriki kwa namba 0715379542. Wazungumzaji wengine ni Muhamed seif khatib (ccm) na Muwakilishi kutoka Tanganyika Law Society (TLS).
 
Tanganyika Law Society? hivi kumbe Tanganyika bado ipo! na nani Rais wake?
 
kutokana sababu zilizo juu ya uwezo, ukumbi umebadilishwa na utakuwa: JB Belmont Hotel iliyokuwa paradise hotel, jengo la benjamini mkapa (posta mpya)
 
Mswaada ya mabadiliko ya katiba aliosaini juzi Kikweti na kuwa sheria kamili unakataza
ku-discuss mambo ya Muungano, labda kama ni kuboresha tu huu tulionao. Kwenda
kinyume adhabu yake ni kifungo cha mwaka 1, faini ya shilingi 5 milioni au vyote kwa
pamoja. Je waandaaji wa mdahalo huo wanafahamu kuhusu hilo?

Hiyo ni sheria kandamizi ya 41 aliyotuongezea JK katika katiba yetu. Halafu anajidai
kwamba UDIKITETA sio hulka yake, kawa danganye huko huko ulikozoea! (Job Ndugai)
 
Mbunge wa ubungo, John Mnyika atakuwa mmoja wa wazungumzaji kwenye mdaharo kuhusu Muungano na Tanzania Tunayoitaka, kesho tarehe 4 disemba katika hotel ya movenpick/serena kuanzia saa 10 na nusu jioni na kurushwa live na startv kuanzia saa 11 jioni. ofisi ya mbunge ubungo inakualika kujumuika naye. Tafadhali thibitisha kushiriki kwa namba 0715379542. Wazungumzaji wengine ni Muhamed seif khatib (ccm) na Muwakilishi kutoka Tanganyika Law Society (TLS).

Nashukuru kuwa Tanganyika imeanza kutambulika....Tunaitaka Tanganyika yetu....
 
Mswaada ya mabadiliko ya katiba aliosaini juzi Kikweti na kuwa sheria kamili unakataza
ku-discuss mambo ya Muungano, labda kama ni kuboresha tu huu tulionao. Kwenda
kinyume adhabu yake ni kifungo cha mwaka 1, faini ya shilingi 5 milioni au vyote kwa
pamoja. Je waandaaji wa mdahalo huo wanafahamu kuhusu hilo?

Hiyo ni sheria kandamizi ya 41 aliyotuongezea JK katika katiba yetu. Halafu anajidai
kwamba UDIKITETA sio hulka yake, kawa danganye huko huko ulikozoea! (Job Ndugai)

Mzinzi huyo!! Ngoja tuone watafanya nini maana katika nchi hii hakuna sheria inayofuatwa kabisa! Ukiona inafuatwa ujue Wanyonyaji wana maslahi nayo!
 
Back
Top Bottom