Ndg zangu, uchaguzi umeisha, lakini ndo unaanza tena!
Naomba kuwaomba wagombea wa urais wa 2010 wamalize tofauti zao kwa kufanya mdahalo wa tadhmini ya ahadi zao walizozitoa wakati wa kampeni. Kufanya tathmini baada ya siku 100 za mwanzo ni jambo la kawaida. Hii itasaidia ama vyama vyao au wananchi kujua nani wa kumchangua 2015. Midahalo hii irekodiwe na kupelekwa hadi vijijini.
Naomba kuwaomba wagombea wa urais wa 2010 wamalize tofauti zao kwa kufanya mdahalo wa tadhmini ya ahadi zao walizozitoa wakati wa kampeni. Kufanya tathmini baada ya siku 100 za mwanzo ni jambo la kawaida. Hii itasaidia ama vyama vyao au wananchi kujua nani wa kumchangua 2015. Midahalo hii irekodiwe na kupelekwa hadi vijijini.