Elections 2010 Mdahalo JK TBC1 Jumapili ijayo?

Status
Not open for further replies.

AMARIDONG

JF-Expert Member
Jun 24, 2010
2,502
180
Dakta jei kei atafanya mdahalo jumapili ijayo akitoka kupiga kura chalinzeeeeeeeeeeee anakuja moja kwa moja bamaga tbc wani kwa ajili ya mdahalo,duuuuu kweli sisiem hamnazo tehe;tokea august anaogopa midahalo mpaka siku ya kuvot ayaaaaaa;;


wadau mnaonaje hiyo ratiba msomali aliyompangia mgombea wetu;;patamu hapo hope ataendelea na ahadism za kufa na kufaana.







Wadau mnaonaje hiyo ratiba ya msomali kanan
 
sasa anafanya mdahalo wa nini wakati ndo siku ya kupiga kura ..kweli ujinga ugonjwa mbaya sana duuuh...
 
Son of peasant naona umeamua leo kuturusha roho mkuu. Anyway, bado wiki moja tutakuwa na nafasi ya kuwashughulikia watu kama nyie.
 
Hii habari ni ya kupotosha. Mwisho wa kampeni ni Jumamosi tarehe 30/10/2010 baada ya hapo ni ujenzi wa Taifa hadi miaka mitano ijayo tena. Mliopata offer za lunch na vinywaji kwa ajili ya kuwasifia wagombea kuanzia 31/10/2010 mtatumia mifuko yenu, na atakayekuwa ameshinda atakuwa CLASS ingine wala usitegemee kukaa naye meza moja tena labda 2015!!!
 
Anataka mda uo tuconcentrate kumuangalia tusiendelee kulinda kura zetu vituoni.
 
Dakta jei kei atafanya mdahalo jumapili ijayo akitoka kupiga kura chalinzeeeeeeeeeeee anakuja moja kwa moja bamaga tbc wani kwa ajili ya mdahalo,duuuuu kweli sisiem hamnazo tehe;tokea august anaogopa midahalo mpaka siku ya kuvot ayaaaaaa;;


wadau mnaonaje hiyo ratiba msomali aliyompangia mgombea wetu;;patamu hapo hope ataendelea na ahadism za kufa na kufaana.







Wadau mnaonaje hiyo ratiba ya msomali kanan



SOURCE please ACHA MAMBO YA KIHUNi
 
Dakta jei kei atafanya mdahalo jumapili ijayo akitoka kupiga kura chalinzeeeeeeeeeeee anakuja moja kwa moja bamaga tbc wani kwa ajili ya mdahalo,duuuuu kweli sisiem hamnazo tehe;tokea august anaogopa midahalo mpaka siku ya kuvot ayaaaaaa;;


wadau mnaonaje hiyo ratiba msomali aliyompangia mgombea wetu;;patamu hapo hope ataendelea na ahadism za kufa na kufaana.







Wadau mnaonaje hiyo ratiba ya msomali kanan

Labda kama atafanya na Dovutwa.
 
Ccm kweli majuha eti kinana na makamba wametangaz mdahalo wao jumapili ijayo baada ya uchaguzi kuwashukuru wananchi kwa kuwachagua ???nani kasema tutawachagua ccm jamani hawa jamaa mbona wanatuchokoza??
 
Source plz.hawa ni wenda wazimu sisi hatuwachagui ngo,Rais ni slaa Pm tutajua wenyewe sasa.
 
Ni mbinu hii ya kututoa vituoni tusisimamie kura....yaani hakuna ujinga hapa subiri aone wataenda wasimamizi wao
 
Dakta jei kei atafanya mdahalo jumapili ijayo akitoka kupiga kura chalinzeeeeeeeeeeee anakuja moja kwa moja bamaga tbc wani kwa ajili ya mdahalo,duuuuu kweli sisiem hamnazo tehe;tokea august anaogopa midahalo mpaka siku ya kuvot ayaaaaaa;;


wadau mnaonaje hiyo ratiba msomali aliyompangia mgombea wetu;;patamu hapo hope ataendelea na ahadism za kufa na kufaana.







Wadau mnaonaje hiyo ratiba ya msomali kanan
Scrap!!!!!
 
Mimi sina haja ya kuangalia JK anasema nini maana hajui hata nini nchi yake inataka.
Hataki kusikiliza ushauri wa wasaidizi wake anadhani ana akili kuliko wao na sisi.
Aende hades wala simhitaji kumwona akihutubia
 
Dakta jei kei atafanya mdahalo jumapili ijayo akitoka kupiga kura chalinzeeeeeeeeeeee anakuja moja kwa moja bamaga tbc wani kwa ajili ya mdahalo,duuuuu kweli sisiem hamnazo tehe;tokea august anaogopa midahalo mpaka siku ya kuvot ayaaaaaa;;


wadau mnaonaje hiyo ratiba msomali aliyompangia mgombea wetu;;patamu hapo hope ataendelea na ahadism za kufa na kufaana.







Wadau mnaonaje hiyo ratiba ya msomali kanan
Bwaha ha ha ha ha Ingekuwa ni tarehe 1 April
 
jamani naombeni mnidadavulie hii nimeisikia mwanakijiji akiiongela ktk bongo radio... what will be the meaning of that debate baada ya uchaguzi? i smell something bad!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom