Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Raisi wetu amewasadia sana watanzania kiuchumi na kimichezo
na mengine mengi. Lakini kumekuwa na mnunguniko kuwa Raisi
wetu ameshidwa kuwasadia watanzania wa hali ya chini.
Wewe kama mwanaJF kwa maoni yako ni muhimu sana kwa ijenzi wa Taifa
Je rais wetu asidie wapi ili wananchi wapate unafuu?
Kumbuka maoni yako yateweza kusadia serikali kuwasadia wananchi wake
Nawakilisha
na mengine mengi. Lakini kumekuwa na mnunguniko kuwa Raisi
wetu ameshidwa kuwasadia watanzania wa hali ya chini.
Wewe kama mwanaJF kwa maoni yako ni muhimu sana kwa ijenzi wa Taifa
Je rais wetu asidie wapi ili wananchi wapate unafuu?
Kumbuka maoni yako yateweza kusadia serikali kuwasadia wananchi wake
Nawakilisha