NALO LITAPITA
JF-Expert Member
- Aug 25, 2011
- 333
- 90
Wadau hivi mnakumbuka ule mdahalo wa hamad na kafulila vs mbowe walivyo mtuhumu mboe na chadema kwa mambo ya ajabu?watu hawa wawili ni wa rohoo wa madaraka sana hamad baada ya kukosa ukuu wa kambi ya upinzani bungeni akageuka hakutaka kushirikiana na chadema akashilikiana na kafulila kuitusi chadema sasa wawili hawa kila mmoja kwenye chama chake amekalia kuti kavu.hakika mambo yanajifunua hapahapa hata miaka 2 haijapita