Ubungoubungo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2008
- 2,502
- 739
wajameni, kuna tetesi kwenye magazeti kuwa kuna mdada anatangaza TBC1 amekamatika uchawi laiv, hivi ni nani? kama kuna wanamagazeti humu tunaomba mtuambie ni nani.
Pili, kuna watu wanatamani kama wangekuwa ni kina Muhando, ili waajiriwe TBC, kwasababu wanaona kina muhando wengi sana kwenye shirika hili kama vile ni la mtu binafsi. hivi hakuna nepotism yoyote hapo?
Pili, kuna watu wanatamani kama wangekuwa ni kina Muhando, ili waajiriwe TBC, kwasababu wanaona kina muhando wengi sana kwenye shirika hili kama vile ni la mtu binafsi. hivi hakuna nepotism yoyote hapo?