Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 20,657
- 71,443
Mbona hapo vingunguti nakuonaga unasali kwa walokole?
Pale part time
Mbona hapo vingunguti nakuonaga unasali kwa walokole?
Ndio maana nikasema humfai jamaa maana wewe ni mlokole.
Pale part time
Uko tyr nikuoe? Una maswali mengi sana yasiyofaa hapo , kama upo tyr njoo chumba cha siri wew mjaluo, lkn umedisqulify wajaluo siwataki labda mchanganyikoKWA HIYO REKODI YAKO INA WASICHANA WAPI? WASABATO UCHUMBA TU, MIEZI MITATU NDOA INAFUATA JITAHIDI.
Hapana kaka, wa imani hii ni muhimu sana kwa future yanguwadada wa kisabato bans..!!
wanakera mno sana yani na wengi wao hawaoleki ayse..
Nnlikua na girlfriend wangu bana nnlimpenda na yy alinipenda..
Shida ikawa anataka mm nimfuate huko kwenye usabato..yaani full msimamoo,,
Eti mpaka leo hajapata wa kumuoa ni mwaka wa sita sasa tangu tu-break,,
Nyie bana wasabato ni so selective sana yani..si utafute mkirsto yoyote uoe??
Mkuu,wanawake wote wametoka kwa Bwana.but yule anayefaa kuitwa mke mwema ni yule aliyekabidhi njia zake kwa BwanaBwana anawashusha kutoka wapi!!?
Umenikwaz sbb ni ubaguzi huo,mnajikuwa na tabia za kubaguana na mbigun tutabaguana?aya kila l kheri ukishapat utuletee na mrejesho uliyoyakutan nayo,Hata humu nimegundua wapo wasabato
Vigezo na masharti ninayazingatia
Samahani kama nimekukwaza
Mti wa ajabu, mbinguni hatutabaguana na hivyo twapashwa kuanzia duniani kutobaguana.Umenikwaz sbb ni ubaguzi huo,mnajikuwa na tabia za kubaguana na mbigun tutabaguana?aya kila l kheri ukishapat utuletee na mrejesho uliyoyakutan nayo,
Ni kweli ndugu, wanawake waliokabidhi njia zao kwa bwana na wanaume waliokabidhi njia zao kwa bwana ndio tunatafutana.Mkuu,wanawake wote wametoka kwa Bwana.but yule anayefaa kuitwa mke mwema ni yule aliyekabidhi njia zake kwa Bwana
ahahaa utakosa mume wewe jifanye tu umeokoka akishakuweka ndani atakufanyeje? unamwambia baba mchungaji ananitongoza au unamwambia alikuwa x wako anataka mrudiane