matobholo
Senior Member
- Sep 21, 2016
- 106
- 100
Naona mada za kutafuta wake zimekuwa nyingi lkn naomba nami nitoe ombi lang.
Nahitaji mdada muadventista msabato baadaye aje kufanyika mke nami niwe Mme wake.
Mimi ni kijana miaka 30, mfupi wastani, nina shahada , muajiriwa gvt na Biashara nafanya pia.,
Natamtafuta mdada msabato, popote tz, awe na ajira yoyote lkn kama mjasiriamali pia sawa, mcha Mungu, mweupe au maji ya kunde, miaka 23_26, asiwe mpare au mchaga au wa mbeya.
Ndoa kuanzia Dec. Mpk June 2017, kutegemeana na makubaliano baina yetu.
Napata changamoto sana kuonana wadada wa kisabato maana Kazi zangu za kuzunguka sana hivyo sikai kanisa moja muda mrefu kupata Mdada kanisani zaidi nakutana na wasichana wasio wasabato.
Naamini nimeeleweka, karibu chumba cha siri huku nitatoa mawasiliano tuongee zaidi.
Karibuni sana.
Nahitaji mdada muadventista msabato baadaye aje kufanyika mke nami niwe Mme wake.
Mimi ni kijana miaka 30, mfupi wastani, nina shahada , muajiriwa gvt na Biashara nafanya pia.,
Natamtafuta mdada msabato, popote tz, awe na ajira yoyote lkn kama mjasiriamali pia sawa, mcha Mungu, mweupe au maji ya kunde, miaka 23_26, asiwe mpare au mchaga au wa mbeya.
Ndoa kuanzia Dec. Mpk June 2017, kutegemeana na makubaliano baina yetu.
Napata changamoto sana kuonana wadada wa kisabato maana Kazi zangu za kuzunguka sana hivyo sikai kanisa moja muda mrefu kupata Mdada kanisani zaidi nakutana na wasichana wasio wasabato.
Naamini nimeeleweka, karibu chumba cha siri huku nitatoa mawasiliano tuongee zaidi.
Karibuni sana.