Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,655
huyu dada miez michache iliyopita si ndo alikua anatafuta mpenz hapa jf
naona humtakii mema shosti wangu.Basi waunganishe nguvu wapige matukio sita ili wafungue maduka mawili...
kuna dhambi fiziko na dhambi spiritual, hapa wanadai dhambi spiritual sio makosaUjambazi wake unatofautianaje na ujambazi wa mafisadi,,wachungaji feki,? babu wa loliondo? Uchakachuaji wa kura etc?
Dena i missed u too.Tena leo tu nilikuwa nakuwaza maana nilikumiss sana.
Mwambie aachane na huyo jambazi matukio matatu si mchezo
ushauri dear!!!!!!Kweli dunia hadaa
maji ukishayavulia...............Makubwa!!
this is the life br!samaki mkubwa anameza mdogo.Hakuna tajiri ambaye hana criminal conduct in his life time.
Kwa hiyo huyo mdada abaki bila kuolewa????????????????
ushauri dear!!!!!!
naona humtakii mema shosti wangu.
ni tiketi ya kuwakata kidomodomo (ngebe) wenye kukusema mtaani na kazini hence raha ya maisha[/COLOR]
kuolewa ni tiketi ya kwenda wapi
mkaka mwenyewe ni mpole na hana papara (kama vile amesomaga seminary schools)Uzuri wenyewe 40% na umri ushaambaa pana ushauri tena hapo!
Jokes aside, afanye haraka aondokane nae ila kwa step. Maana ndo jambazi tena lisije kumdhuru
hao mawifi hawajui kama kaka yao ni mtu wa chuma/jambazi.Yeye ndio hajitakii mema kwani alitakiwa akimbie the moment amejua ukweli.....ukitafakari vyema utaona kwamba hizo habari kuwa hajawahi kuua ni kumpoza tu...na hizo story za mawifi zake kuwa jamaa kabadilika ni uongo mtupu...
mkaka mwenyewe ni mpole na hana papara (kama vile amesomaga seminary schools)
mnanipa wakati mgumu kumwambia amwache mpenzi wake nitaanzaje????
hao mawifi hawajui kama kaka yao ni mtu wa chuma/jambazi.
jamani wadada tunapenda vibaya
naona uchungu kwani najua akikataa NDIYO ITAKUWA MWISHO WA URAFIKI WETU and i dont to see dis happeningKwani maamuzi yako yoyote yeye atayafuata?
@arusha,baba mngoni ,mama mchagga.
kagundua kuwa bf wake ni jambazi, baada ya kuiona bastola yake akamuuliza kwa upole bf akakubali ila akamuahidi anaitaji matukio matatu tu ila aachane na ujambazi.Anadai anataka mtaji wa kufungua duka la kuuza pikipiki za mchina hapa Arusha .Akadai strictly hajawai kuuwa na yuko makini hawezi kunaswa na akinaswa ana uhakika wa kutolewa.
Mdada kashampenda sana jamaa na anadai amewahi kuwa na mahusiano na wanne wote walimuacha ndani ya miezi isozidi sita ila huyu ndiye aliyedumu naye mwaka na nusu na mkaka kashamtambulisha kwao,mawifi zake (to be) wanampenda sana na always humwambia tunashukuru as now days kaka yetu yuko fucused anaijali familia, mipombe kapunguza, anaiheshimu kazi yake (tour guide),
Confidential: Mdada mwenyewe analipa (uzuri) kwa 40% na umri umesogea na jamaa yuko presentable 70%
Uzuri kwa 40% manake halipi sana kwa hiyo lazima akomae na anayemkaribia.
Anahofia umri na figure yake vitamkosesha mume na kashampenda huyu jambazi.