Rogie
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 7,581
- 6,675
- Thread starter
- #21
Yaani anataka kukulipa fadhila kwa kuwa umemsaidia? kuwa makini sana kaka huwezi jua asije akawa amekupendea kwamba wewe ni mtoa msaada tu, jifikirie ukija muoa akakuomba msaada halafu ukamnyima hatakuona hufai tena? kama unampenda mchunguze subiri akuombe msaada mwingine then mwambie huna uone kama atakuwa the same
Dah nimeipenda hii!