Mchungaji wa loliondo ametumwa na Mungu yupi?

Sipingi na wala sitapinga wagonjwa kumiminika kwenda Loliondo kupata dawa ya magonjwa sugu inayotolewa na Mch. Mstaafu Ambilikile. Lakini kama anayosema ni kweli basi Mungu aliyempa uwezo huo atakuwa ni Mungu ambaye mm simuabudu. Tujiulize ni Mungu gani atampa mtu kuponya watu na kumzuia mtu huyo kuitoa dawa hiyo nje ya mazingira yale aliyopo? Mungu wa Mch. Mwasapile ni mchoyo kwa sababu kulazimisha dawa hiyo itolewe eneo moja tu ni uchoyo na upendeleo. Najiuliza wagonjwa mahututi walio kule Mtwara wataweza kusafiri mpaka Loliondo kupata hiyo dawa. Uchoyo mwingine wa Mungu wa Mwasapile ni kwamba kama dawa yake haiwezi kutolewa na mtu mwingine then Hospitali zetu za kule Songea haziwezi kunufaika nayo. Je mchungaji akipatwa na umauti sasa ni nani atatibu badala yake kama ni yeye tu anaruhusiwa na huyo Mungu wake kutibu? Bado Yesu alipewa uwezo wa kuponya lakini alikuwa anaweza kutoa uponyaji popote duniani? Nahitimisha kwa kusema Mch. Mwasapile ni mungu-mtu na anatumia matatizo ya binadamu vibaya na naapa kuwa Mungu wa Mchungaji huyu siwezi kumuabudu.
Wewe unahatari tena hatari ya kujaribu kuchota dhambi ambayo haina sababu. Haya mambo ya imani ni ya mtu binafsi na kamwe hakuna imani ya ujumla ndiyo maana nawashangaa sana watu wanaosema (sisi ni watu tuliookoka) Ni vigumu sana kuokoka kama kikundi anayeokoka ni mtu mmoja kwa binafsi yake anayeweza kuwaweka kwenye kundi ni Yesu Kristo, uwelewe wazi kuwa mzee huyu alikuwa anafanya uinjilisti kwenye eneo la kijijini lililogubikwa na umaskini, kitu kilichowafanya wakazi wa eneo hilo wawe na shida za kudumu, kwa vyovyote vile kama mchungaji huyu alikuwa amesimama kwenye zamu yake lazima alikuwa anamzigo wa kuwaombea hawa watu ili mungu awafungue na kuwatatulia matatizo hivyo basi naamini dhamira na mzigo uliokuwa ndani ya mzee huyu ndiyo ilimfanya apewe neema hiyo. mchungaji huyo amezuia dawa hiyo isitoke kiholela kwani inaweza kutumiwa vibaya na kuleta athari, hata hivyo hajaficha mti unaotumika, hata wewe ukitaka nenda kauchemshe hujazuiwa, aidha uelewe wazi kuwa mti huo una sumu kali ila muujiza uliuopo mpaka sasa hakuna mtu aliyedhurika na dawa ya mti huo hivyo kufanya jambo hili liwe muujiza. Hata hivyo kwenye haya mambo ya imani ni vema kuchukua tahadhari unapojaribu kuyazungumzia kwani unaweza ukajikuta unaingia kwenye shida usiyoitegemea sioni kama una hoja yenye mantiki unapohoji kwanini mzee huyo hafiki mikoani. Kuna watu wanasafiri kwenda Nigeria kuombewa na TB Joshua sasa ungehoji kuwa kwanini watu wanaenda huko wakati hapa tanzania kuna watumishi kibao.
 
Wewe unahatari tena hatari ya kujaribu kuchota dhambi ambayo haina sababu. Haya mambo ya imani ni ya mtu binafsi na kamwe hakuna imani ya ujumla ndiyo maana nawashangaa sana watu wanaosema (sisi ni watu tuliookoka) Ni vigumu sana kuokoka kama kikundi anayeokoka ni mtu mmoja kwa binafsi yake anayeweza kuwaweka kwenye kundi ni Yesu Kristo, uwelewe wazi kuwa mzee huyu alikuwa anafanya uinjilisti kwenye eneo la kijijini lililogubikwa na umaskini, kitu kilichowafanya wakazi wa eneo hilo wawe na shida za kudumu, kwa vyovyote vile kama mchungaji huyu alikuwa amesimama kwenye zamu yake lazima alikuwa anamzigo wa kuwaombea hawa watu ili mungu awafungue na kuwatatulia matatizo hivyo basi naamini dhamira na mzigo uliokuwa ndani ya mzee huyu ndiyo ilimfanya apewe neema hiyo. mchungaji huyo amezuia dawa hiyo isitoke kiholela kwani inaweza kutumiwa vibaya na kuleta athari, hata hivyo hajaficha mti unaotumika, hata wewe ukitaka nenda kauchemshe hujazuiwa, aidha uelewe wazi kuwa mti huo una sumu kali ila muujiza uliuopo mpaka sasa hakuna mtu aliyedhurika na dawa ya mti huo hivyo kufanya jambo hili liwe muujiza. Hata hivyo kwenye haya mambo ya imani ni vema kuchukua tahadhari unapojaribu kuyazungumzia kwani unaweza ukajikuta unaingia kwenye shida usiyoitegemea sioni kama una hoja yenye mantiki unapohoji kwanini mzee huyo hafiki mikoani. Kuna watu wanasafiri kwenda Nigeria kuombewa na TB Joshua sasa ungehoji kuwa kwanini watu wanaenda huko wakati hapa tanzania kuna watumishi kibao.

............ wajinga ni wengi kuliko wenye akili ! iweje uamini MUNGU amesulubiwa na watu wake alie waumba !? pima halafu uamue !:juggle:
 
Sipingi na wala sitapinga wagonjwa kumiminika kwenda Loliondo kupata dawa ya magonjwa sugu inayotolewa na Mch. Mstaafu Ambilikile. Lakini kama anayosema ni kweli basi Mungu aliyempa uwezo huo atakuwa ni Mungu ambaye mm simuabudu. Tujiulize ni Mungu gani atampa mtu kuponya watu na kumzuia mtu huyo kuitoa dawa hiyo nje ya mazingira yale aliyopo? Mungu wa Mch. Mwasapile ni mchoyo kwa sababu kulazimisha dawa hiyo itolewe eneo moja tu ni uchoyo na upendeleo. Najiuliza wagonjwa mahututi walio kule Mtwara wataweza kusafiri mpaka Loliondo kupata hiyo dawa. Uchoyo mwingine wa Mungu wa Mwasapile ni kwamba kama dawa yake haiwezi kutolewa na mtu mwingine then Hospitali zetu za kule Songea haziwezi kunufaika nayo. Je mchungaji akipatwa na umauti sasa ni nani atatibu badala yake kama ni yeye tu anaruhusiwa na huyo Mungu wake kutibu? Bado Yesu alipewa uwezo wa kuponya lakini alikuwa anaweza kutoa uponyaji popote duniani? Nahitimisha kwa kusema Mch. Mwasapile ni mungu-mtu na anatumia matatizo ya binadamu vibaya na naapa kuwa Mungu wa Mchungaji huyu siwezi kumuabudu.

Usiwe na wasiwasi yule ni Mungu wa kweli. Yehova, Muumba mbingu na nchi na ndiyo maana hata mahita muislamu kaenda!
Mbona kuna watu wanamwamini mtume aliekuwa hajui kusoma wala kuandika!!!?? na alikuja kuoa kitoto cha miaka 6 akakiingilia kimwili kikiwa na miaka9!! kweli huyo alikuwa mtume wa Mungu alie hai! na watu wazima wanaamini!!!!!!!!!!! Loh!
 
Ni wengi tu huja kwa jina la kutumwa na Mungu!! na huwapata wawapatao... naogopa sana kusema ama kufananisha na Kibwetere, bado ni mapema mno, wakati utakapofika na imani zikawapunguka wale walioamini sasa ndipo itajulikana! Ila kwa sasa wacheni niwe TOMASO! maana wengi wa walioenda kwa babu wanagoma kupimwa ili kuthibitishwa afya zao je ni KWANINI?

.
Bwana Yesu alimfufua Lazaro, hata hivyo Lazaro hatunae hata sasa kwani siku yake ya kufa huu wa kuharibika ulipofika sawa na ahadi ya Mungu alikufa tena. Kilichotokea kwake ni kuongezewa siku za kuishi duniani kwa mwili huu wa nyama(flesh). Hivyo na hawa babu anaowapa dawa na kupona , ni kwamba Mungu ameahirisha kifo chao kwa kitambo na siku ikifika sii waliopewa dawa wala babu wote watakufa. Sasa acha kutishia watu nyauu.
Hakuna dawa ya kudumu dawamu na huu mwili wa nyama(flesh).
 
Ukiwa huna nauli ya kukufikisha omba hata msaada, tuondole ujinga wako hapa

Hoja hujibiwa kwa hoja si matusi. Aidha, wewe na wenzako wote msiosoma hoja mkaelewa nitajieni mtu mmoja ambae alipima akaonekana ana Virus na baada ya kunywa maji yale akapima tena na kuonekana hana virus. Na je hyo dawa ya babu yako inaweza kutestiwa kisayansi na kutumika hospitalini?
 
Usiwe na wasiwasi yule ni Mungu wa kweli. Yehova, Muumba mbingu na nchi na ndiyo maana hata mahita muislamu kaenda!
Mbona kuna watu wanamwamini mtume aliekuwa hajui kusoma wala kuandika!!!?? na alikuja kuoa kitoto cha miaka 6 akakiingilia kimwili kikiwa na miaka9!! kweli huyo alikuwa mtume wa Mungu alie hai! na watu wazima wanaamini!!!!!!!!!!! Loh!
Hivi huyo mtume unayemsema wewe anacho kitabu alichopewa na Mungu wake? Kama kipo angalia hayo maandiko yake yana uwezo gani kisayansi halafu pima na hii sayansi ya sasa unayoisoma wewe shuleni sasa hivi kama kuna tofauti yoyote,na pili Mtume hapigiwi kura ya kuchaguliwa bali huteuliwa na M/mungu,taka/usitake atakuwa mtume tu, Mtume yupi unayemjua wewe ambaye alikuwa akijua kusoma na kuandika kabla ya kupewa utume?
 
Du wadau haya mambo yako kiimani zaidi ndio maana huwa tunaambiwa ukiamini utapona hivyo kama wewe unaimani kuwa babu anaponyesa basi utapona na kila jambo huja kwa sababu duniani
tuombe tu mungu waponywe wengi .
 
Sipingi na wala sitapinga wagonjwa kumiminika kwenda Loliondo kupata dawa ya magonjwa sugu inayotolewa na Mch. Mstaafu Ambilikile. Lakini kama anayosema ni kweli basi Mungu aliyempa uwezo huo atakuwa ni Mungu ambaye mm simuabudu. Tujiulize ni Mungu gani atampa mtu kuponya watu na kumzuia mtu huyo kuitoa dawa hiyo nje ya mazingira yale aliyopo? Mungu wa Mch. Mwasapile ni mchoyo kwa sababu kulazimisha dawa hiyo itolewe eneo moja tu ni uchoyo na upendeleo. Najiuliza wagonjwa mahututi walio kule Mtwara wataweza kusafiri mpaka Loliondo kupata hiyo dawa. Uchoyo mwingine wa Mungu wa Mwasapile ni kwamba kama dawa yake haiwezi kutolewa na mtu mwingine then Hospitali zetu za kule Songea haziwezi kunufaika nayo. Je mchungaji akipatwa na umauti sasa ni nani atatibu badala yake kama ni yeye tu anaruhusiwa na huyo Mungu wake kutibu? Bado Yesu alipewa uwezo wa kuponya lakini alikuwa anaweza kutoa uponyaji popote duniani? Nahitimisha kwa kusema Mch. Mwasapile ni mungu-mtu na anatumia matatizo ya binadamu vibaya na naapa kuwa Mungu wa Mchungaji huyu siwezi kumuabudu.

Foreina: Unapomfikiria Mungu kwa akili na uwezo na mawazo ya kibinadamu unakosea kabisa na huenda ukamkosea na yeye pia. Mwache Mungu afanye kama anavyotaka kwani yeye anajua mahitaji yakila mmoja wetu popote alipo.
 
Naunga mkono hoja!huyu babu ana mungu wake wa ajabu ajabu ambaye hata mimi simuelewi.sina kumbukumbu za kibibilia zilizotabiri kuwa atatokea mchungaji wa loliondo ambaye watu watapona kwa kikombe cha dawa atakayoiombea mchungaji huyu.au ndio mwanzo wa wale manabii wa uwongo?nasisitiza huyu babu ni mzushi,ni kibwetere mwingine,ni kama yule mtoto aliyetokea kibosho aliyeponya kwa maji ya bikira maria,yaani ni uzushi mwingine wa kibwegebwege hivi.
 
cha msingi watu wapone tu mbona tunapeleka watu India na kwingineko si tunafata tiba?
 
Ni mtizamo mzuri. Hata waberoya walipiletewa imani walifanya uchunguzi binafsi. Lakini huwezi ukakwesheni utendaji wa Mungu.

Kumbuka, birika la Sloam, kisima ambacho kilikuwapo Israel, Malaika alikuwa akitibua maji tu, mtu wa kwanza kutumbukia humo alikuwa anapona. Sasa na hii utahoji kwamba kwanini hakukuwa na visima vya namna hii kila sehemu?

Kama una imani muombe Mungu, kwani hata hilo hashindwi!
 
Sipingi na wala sitapinga wagonjwa kumiminika kwenda Loliondo kupata dawa ya magonjwa sugu inayotolewa na Mch. Mstaafu Ambilikile. Lakini kama anayosema ni kweli basi Mungu aliyempa uwezo huo atakuwa ni Mungu ambaye mm simuabudu. Tujiulize ni Mungu gani atampa mtu kuponya watu na kumzuia mtu huyo kuitoa dawa hiyo nje ya mazingira yale aliyopo? Mungu wa Mch. Mwasapile ni mchoyo kwa sababu kulazimisha dawa hiyo itolewe eneo moja tu ni uchoyo na upendeleo. Najiuliza wagonjwa mahututi walio kule Mtwara wataweza kusafiri mpaka Loliondo kupata hiyo dawa. Uchoyo mwingine wa Mungu wa Mwasapile ni kwamba kama dawa yake haiwezi kutolewa na mtu mwingine then Hospitali zetu za kule Songea haziwezi kunufaika nayo. Je mchungaji akipatwa na umauti sasa ni nani atatibu badala yake kama ni yeye tu anaruhusiwa na huyo Mungu wake kutibu? Bado Yesu alipewa uwezo wa kuponya lakini alikuwa anaweza kutoa uponyaji popote duniani? Nahitimisha kwa kusema Mch. Mwasapile ni mungu-mtu na anatumia matatizo ya binadamu vibaya na naapa kuwa Mungu wa Mchungaji huyu siwezi kumuabudu.

Sikupingi,naheshim uhuru wa kuongea na kutoa maoni yako,una haki ya msingi.Mkuu hebu tusubiri tuone au kusikia shuhuda za waliopona kutokana na dawa ya babu,hakuna marefu yaso ncha.
 
Tukale mkate wa uziimaa na damu ya uzimaaaa ya uzimaaaa
TUKANYWE KIKOMBEEEE CHA DAWA YA UZIMA CHA BABU CHA UZIMAAAAAA!!!!
Doubting Thomases are everywhere but JESUS NEBER SAID GOODBYE, BY HIS BLOOD YOU WILL BE REDEEM TO LIFE AGAIN!!!!!!
Mkuu.
Umenifanya niwaze sana kuhusu wamasai na unywaji wa damu.
They do it for real!! Au wao hawakufahamu, hawakuelewa ujumbe?
 
<p>
Sipingi na wala sitapinga wagonjwa kumiminika kwenda Loliondo kupata dawa ya magonjwa sugu inayotolewa na Mch. Mstaafu Ambilikile. Lakini kama anayosema ni kweli basi Mungu aliyempa uwezo huo atakuwa ni Mungu ambaye mm simuabudu. Tujiulize ni Mungu gani atampa mtu kuponya watu na kumzuia mtu huyo kuitoa dawa hiyo nje ya mazingira yale aliyopo? Mungu wa Mch. Mwasapile ni mchoyo kwa sababu kulazimisha dawa hiyo itolewe eneo moja tu ni uchoyo na upendeleo. Najiuliza wagonjwa mahututi walio kule Mtwara wataweza kusafiri mpaka Loliondo kupata hiyo dawa. Uchoyo mwingine wa Mungu wa Mwasapile ni kwamba kama dawa yake haiwezi kutolewa na mtu mwingine then Hospitali zetu za kule Songea haziwezi kunufaika nayo. Je mchungaji akipatwa na umauti sasa ni nani atatibu badala yake kama ni yeye tu anaruhusiwa na huyo Mungu wake kutibu? Bado Yesu alipewa uwezo wa kuponya lakini alikuwa anaweza kutoa uponyaji popote duniani? Nahitimisha kwa kusema Mch. Mwasapile ni mungu-
mtu na anatumia matatizo ya binadamu vibaya na naapa kuwa Mungu wa Mchungaji huyu siwezi kumuabudu.
</p>
<p>&nbsp;</p>
soma vizuri hiyo biblia yako kama wewe unaamini ktk kitabu hicho hasa injili ya luka then utaelewa nini kinatokea loliondo
 
Mimi nakuunga mkono asilimia mia moja. Jambo jingine. Uponyaji wa Mungu huanzia rohoni ndipo mwili ufuata. Pili, wanaohitaji uponyaji wa Mungu ni lazima waiamini injili na waishi ktk neno. Wanaokunywa dawa loliondo, wanatoka pale wamemwamini Yesu au baada ya kunywa ni kutembea? Tuzidi kutafakari hapo! Steve.
 
Sipingi na wala sitapinga wagonjwa kumiminika kwenda Loliondo kupata dawa ya magonjwa sugu inayotolewa na Mch. Mstaafu Ambilikile. Lakini kama anayosema ni kweli basi Mungu aliyempa uwezo huo atakuwa ni Mungu ambaye mm simuabudu. Tujiulize ni Mungu gani atampa mtu kuponya watu na kumzuia mtu huyo kuitoa dawa hiyo nje ya mazingira yale aliyopo? Mungu wa Mch. Mwasapile ni mchoyo kwa sababu kulazimisha dawa hiyo itolewe eneo moja tu ni uchoyo na upendeleo. Najiuliza wagonjwa mahututi w
 
'Walimwengu wanashangaza sana. Mungu hataliacha jina lake liabishwe. Foreina, kama u muumini kweli kumbuka biblia yako inakukataza kuapa kwa mbingu au kwa ardhi. Pia uwe makini usijekuta unamkana Mungu wa kweli. Mifano ipo mingi kwenye maandiko.
 
Back
Top Bottom