View attachment 50122mchungaji amefumwa akimuogesha mke wa watu nchini ghana,mchungaji anadai alikuwa anamtakasa na alimuogesha kwa maji ya baraka,mchungaji uyo alipigwa hii picha kwa siri,cha ajabu anaogesha wake za watu wakiwa uchi,wanaume aogeshi
huyu lazma anamambo yake pembeni
hii ndio matokeo ya waumini kuwaamin sana wachungaji wao,ni ujinga tu
hii maneno ya kutakasa hata bongo ipo! Amnamkumbuka yule mke wa wakili aliyegongwa na 'nabii'!?
wanawake ndio waathirika wakubwa wa mambo hayo, nimeshaangaa sana kusikia huko melelerani mchungaji anapiga watu kisa hataki sadaka kiduchu. Haki ya nani utakuta waliopigwa hapo ni wamama na mabinti, kama kuna kaka au baba alikubali kupigwa nampa pole sana.
Walitakiwa wampe fundisho huyo mchungaji feki, hadi popote atakapo ona kasinisa anabadilinjia.
Makanisa ndio kimekiwa kichaka cha wezi, wauza unga na mafisadi
zama za mwisho na vituko vyake.
makanisa oyeeee. Yesu oyeeee.
inauma
ushirikina mtupu, hakuna cha mchungaji wala kondoo hapo.
duh hapo kinachofuata sikupeana mambo tu....
i envy these people.....
They get women for free
na sadaka juu.......
Ni kama rock stars hivi lol
duh na hayo makatani ni ya nini??