Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
View attachment 50122mchungaji amefumwa akimuogesha mke wa watu nchini ghana,mchungaji anadai alikuwa anamtakasa na alimuogesha kwa maji ya baraka,mchungaji uyo alipigwa hii picha kwa siri,cha ajabu anaogesha wake za watu wakiwa uchi,wanaume aogeshi
Uko serious kabisa!?Hebu nipe contact zake ili nifungue branch TZ
OTIS
Umeona eh ?yaaani wanangonoka na wanatia heshima mfukoni!i envy these people.....
they get women for free
na sadaka juu.......
ni kama rock stars hivi lol