winner forever
JF-Expert Member
- Mar 6, 2012
- 1,095
- 269
Mkuu siku hizi dini na hasa UDINI ni siasa. Mkutano wa jana umedhihirisha hivyo bila chenga.
Mimi sikubaliani na wewe! Fahamu kwamba CUF, CCM au CDM wanavyoitisha mikutano ya siasa hawaendi makanisani au misikitini kuhamasisha waumini wa dini kuhudhuria mikutano. Udini ni propaganda inayopandikizwa na kundi la watu fulani ili malengo yao ya kisiasa yatimie.
Tusitumie muda mwingi kuwashughulisha watanzania na mambo ya Udini,ukabila,ukanda. Chama cho chote makini chenye sera za maslahi ya Taifa kitapata ufanisi tu, nafikiri mafanikio hayo umeanza kuyaona kwenye baadhi ya vyama, 2015 utaona matokeo yake