Mkuu mimi sina tatizo na wewe hata kidogo na najielewa vizuri isipokuwa unanishangaza sana na hili neno Mchungaji kwani lina maana gani zaidi ya Preacher. Nachambua maneno yako kwa sababu unajitambulisha kama mwana Chadema na sipendi maoni yako kwa kutumia jina la chama hayapendezi na kumradhi sana.unaruhusiwa kusoma ulicho quote kwanza kabla ya kukimbilia.Angalia status yako hapa JF(verified user) sijui senior expert etc.kma husomi between line kuna shida.Mimi sijaongelea kuhusu mchungaji kuwa mwana CUF. Ila behaviour yake tangu alipodanda jukwaani, na jinsi alivyosali.
Kama vile umekuja kwa kunipania.Nadhani ungeweza saidia toa majibu logical kwa cuf
Mtu yeyote anaweza kuwa mchungaji na ktk dhehebu lolote la Kikristu sio lazima utamaduni wa dhehebu moja kutafsiri uwezo wa mtu kuwa mchungaji..waislaam whitwa Maalim au mwalimu na jina jingine ndiye mchungaji na unaweza kabisa kumwita Maalim mchungaji kwa kiswahili na haishangazi mafundisho yake ama wakati wa kuogoza dua/sala. Hutaki unaacha mkuu wangu shida yako nini kuhuyu mchungaji kuwepo CUF yaani usiyaseme yote ya kisiasa isipokuwa mchungaji- Huu ndio UDINI.....