Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
Nimefikiria kama Mtatiro ni Mkiristo safi asingekubali kufanyiwa dhiaka ktk dini yake, basi kama kuna ushahidi kuwa ni Mchungaji fake basi wampeleke mahakamani.
Mkuu ushahidi hauwezi kupatikana kwa kuwa kila kukicha kuna watu wanajiita wachungaji wengine mitume na wengine manabii. Mungu pekee ndiye ajuae nani fake na nani si fake sisi wanadamu hatuwezi kamwe kujua hayo mambo.