Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
Katika mkutano wa CUF leo mchungaji aliyesimama kufungua kwa ibada ameonyesha mapungufu mengi.
Ila mojawapo ni haya kwanza hajui tofauti ya madhehebu. Catholics hawana mchungaji, na hivyo mchungaji kufanya ishara ya Catholics ni shida kwa kanisa lake.
Pia alikuwa akionyesha tabasamu linaloweza tafsiriwa kuwa hakuwa serious au alikuwa akiigiza na hivyo na kusubiri muda wa kumaliza.
Muda wote kulikuwa na watu wakicheka wakati wa maombi ya ufunguzi, na "mchungaji" alipokuwa akishuka alipeana mikono na watu kwa staili inayoweza tafsiriwa kama pongezi kwa "umejitahidi igiza"
Mchungaji aliyesimama kaonyesha mambo yenye kuleta maswali haya:
-Je huyu hakuwa mchungaji feki?
-Na kama ni mchungaji kabisa ,basi atakuwa ni kanjanja na hivyo kuongeza swali. Kwanini CUF-wachague hiyo njia?
-Je CUF wana nia thabiti ya kuweka uwakilishi wa kidini wenye heshima katika maombi ya ufunguzi?
Ningependa sana CUF waje weka wazi hii habari.
Mods: Naomba msiitoe hii. It's serious.
Ila mojawapo ni haya kwanza hajui tofauti ya madhehebu. Catholics hawana mchungaji, na hivyo mchungaji kufanya ishara ya Catholics ni shida kwa kanisa lake.
Pia alikuwa akionyesha tabasamu linaloweza tafsiriwa kuwa hakuwa serious au alikuwa akiigiza na hivyo na kusubiri muda wa kumaliza.
Muda wote kulikuwa na watu wakicheka wakati wa maombi ya ufunguzi, na "mchungaji" alipokuwa akishuka alipeana mikono na watu kwa staili inayoweza tafsiriwa kama pongezi kwa "umejitahidi igiza"
Mchungaji aliyesimama kaonyesha mambo yenye kuleta maswali haya:
-Je huyu hakuwa mchungaji feki?
-Na kama ni mchungaji kabisa ,basi atakuwa ni kanjanja na hivyo kuongeza swali. Kwanini CUF-wachague hiyo njia?
-Je CUF wana nia thabiti ya kuweka uwakilishi wa kidini wenye heshima katika maombi ya ufunguzi?
Ningependa sana CUF waje weka wazi hii habari.
Mods: Naomba msiitoe hii. It's serious.