STREET SMART
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 807
- 622
duh: sanaa 100%. Ila mchungaji usisahau kuorodhesha na ma cheni,mahereni,ma bracelet ya dhahabu uyavaayo tukiwa kwenye ibada.
ushindwe na ulegee!hana lolote huyu mama ni tapeli wa kimataifa kupitia kwa yesu, muogopeni sana .
Source MAGAZETI YA LEO HASA MWANANCHI.Mkubwa Bila Chanzo aka Source Au Ulikuwepooo?
Huyu ameamua kusingizia shetani..kwani mtu akishakuwa mzembe kisingizio inakuwa hasa shetani..lakini mwingine akikosea anasema uvivu/uzembe nk.
duh: sanaa 100%. Ila mchungaji usisahau kuorodhesha na ma cheni,mahereni,ma bracelet ya dhahabu uyavaayo tukiwa kwenye ibada.
imebidi nicheke tu maana nimekumbuka wakati niko form tw0 seminarini miaka hiyo ku....ilitokena nikaumia mguu wakati wa mechi then jumatatu nikaavaa viatu na kuingia darasani ..sasa wakati nikiwa darasan mguu ukauma sana na nikaamua kurudi chumbani kuvua viatu ili nivae open shoes...sikuomba ruhusa kuingia room...na ndipo baba ngombera (rector)akanikamata na liponiuliza nilijibu sikuomba ruhusa ya kuingia room..aliponibana sana nikasema nilipitiwa na shetani.....nakumbuka alinipa adhabu ya kukaa chini ya mwembe toka asubuhi hadji jioni ili nijadili na huyo shetani kwa nini alitoka huko na kunichukua darasanio had chumbani bila ruhusa......
ndipo nikajua shetani wa mtu ni mtu mwenyewe na mawazo yake......
huyu mama kichaa kweli teh!
Hapo kuna watu wa aina mbili. Wanaoamini kuwa shetani yupo na anatenda, na wasioamini. Kifupi shetani ni kiumbe cha roho, kama vile malaika wengine, hivyo hatuwezi kuwaona kwa macho. Shetani ni kiumbe halisi, ukisoma katika Biblia , Ufunuo 12:7 - 12.
Shetani alitupwa hapa duniani, na ana hasira kali, akijua ana kipindi kifupi aje kuangamizwa pamoja na wafuasi wake.
Ndio maana kuanzia 1914 hali inazidi kuwa mbaya katika dunia nzima!!!!! Tuliozaliwa baada ya 1914, huenda isiwe rahisi kuona tofauti, lakini kwa kusoma historia ya dunia kabla ya 1914, tutaona wazi.
Mama Rwakatare hakukosea kumtaja shetani, ila kamtaja kwa watu ambao wanahitaji ujuzi zaidi juu ya shetani.
Vilevile shetani anaweza kufanya kazi kwa mtumishi wa Bunge(ambaye inasemekana aliipokea form ya mama Rwakatare), pia anaweza kufanya kazi kwa mama Rwakatare(ambaye anadai aliikabidhi form). Mimi na wewe hatujui, Mungu na mama Rwakatare ndio wanaoujua ukweli.
Kama tungeruhusiwa kutoa maoni, binafsi ningemshauri Mh. Lukuvi, amsamehe kwa kuwa huenda ni mara ya kwanza.
Vilevile ningemshauri mama Rwakatare aachane na mambo ya siasa, kwa kuwa Biblia inaita "ukahaba wa kiroho" (Ufunuo 17:5) kuwa katika siasa za ulimwengu, hapo hapo kiongozi wa dini.
Mengine nitayasema baada yan kusikiliza mchango wenu wana JF. Nisiwe mbinafsi kuchonga saaanaaaa!!!!
Ciao.