nyabhingi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 15,513
- 19,998
Mchungaji Mwasapile kuhamisha utoaji tiba Send to a friend
Monday, 21 March 2011 21:06
0
digg
Mchungaji Ambilikile Mwasapile
Kizitto Noya na Venance George,Loliondo
MCHUNGAJI Ambilikile Mwasapile amesema hivi karibu atahamisha utoaji wa tiba katika eneo analoishi sasa na kwenda sehemu ambayo itakuwa na nafasi kubwa zaidi, kwa lengo la kupanua huduma na kubadilisha mazingira anayoishi.
Akizungumza juzi mchana kijini hapo, mchungaji huyo alisema yeye si mganga wa kienyeji, bali anatibu kwa miujiza ya Mungu na kusisitiza kwamba ili mgonjwa apone anatakiwa kuwa na imani katika huduma hiyo.
"Nataka nieleze kidogo kuwa mimi si mganga wa kienyeji. Tiba yangu ni miujiza ya Mungu ambaye ameamua kuliweka neno lake katika mti huu ili lilete uponyaji.
Ameamua kuukomesha ugonjwa wa Ukimwi duniani kabisa," alisema mchungaji huyo na kuongeza:
Kwa wale wanaoumwa Ukimwi wanapokunywa dawa hii wanapona kabisa. Tiba itaanza kujidhihirisha ndani ya siku saba. Lakini wadudu hata kama bado watakuwapo, hawatakuwa na nguvu na katika kipindi cha miezi mitatu, wadudu wote watakufa kabisa.
Monday, 21 March 2011 21:06
0
digg
Mchungaji Ambilikile Mwasapile
Kizitto Noya na Venance George,Loliondo
MCHUNGAJI Ambilikile Mwasapile amesema hivi karibu atahamisha utoaji wa tiba katika eneo analoishi sasa na kwenda sehemu ambayo itakuwa na nafasi kubwa zaidi, kwa lengo la kupanua huduma na kubadilisha mazingira anayoishi.
Akizungumza juzi mchana kijini hapo, mchungaji huyo alisema yeye si mganga wa kienyeji, bali anatibu kwa miujiza ya Mungu na kusisitiza kwamba ili mgonjwa apone anatakiwa kuwa na imani katika huduma hiyo.
"Nataka nieleze kidogo kuwa mimi si mganga wa kienyeji. Tiba yangu ni miujiza ya Mungu ambaye ameamua kuliweka neno lake katika mti huu ili lilete uponyaji.
Ameamua kuukomesha ugonjwa wa Ukimwi duniani kabisa," alisema mchungaji huyo na kuongeza:
Kwa wale wanaoumwa Ukimwi wanapokunywa dawa hii wanapona kabisa. Tiba itaanza kujidhihirisha ndani ya siku saba. Lakini wadudu hata kama bado watakuwapo, hawatakuwa na nguvu na katika kipindi cha miezi mitatu, wadudu wote watakufa kabisa.