Mchungaji Mtikila atoa Kali

hahahaha yaani mtikila anazeeka vibaya sana...Nimejaribu kuangalia hiyo picha yake nimetafakari mambo mengi sana alafu nikaanza kucheka mwenyewe...this dude mayn he is such a great comedian hahahaha!....duuh!
 
Designer wa Mch Mtikila ni mkali sana ndala na kiatu hahaha kazi kweli kweli!
 
Mtikila anazeeka vibaya wakubwa!alikua anataka kuwavuta watu wa media sana sana,ili walau wananchi tujue NA JAMAA NAE YUPO!tehe tehe tehe tik.

TUMEMSHTUKIA HUYU MZEE!ni vema akaonyeshwa MLANGO WA KUTOKEA.siasa za kizazi hichi naona HAZIMFAI TENA.aungane na wazee wenzie wastaafu kupumzika

Mchungaji ana uzee gani jamani!!! Hao watawala wetu wana tofauti gani na Mtikila kiumri????
 
1236091616_mtikilaweb.jpg



ambapo alijibu kuwa mnamo Februari 16 akiwa nchini Zimbabwe alivamiwa ndani na Joka kubwa aina ya Kobra ambalo lilimg’ata mguu, lakini hakuweza kupata matibabu kwa siku tatu ingawa alikuwa anakesha na kuomba.

Ni kwanini mnakuwa na imani haba? Yeye aliomba sumu kali ya nyoka SWILA isiwe na madhara juu yake, tatizo liko wapi?


Tatizo sio ukuu wa nguvu za mungu, bali usanii uliotukuka wa Rev. Mtikila. Sio rahisi kuamini hii story yake kabisa. Ni mjanja mjanja kupita kiasi
 
Mtikila badala ya kujitokeza na kuelezea kesha rudisha shilingi ngapi zile za Rostam, anakuja na story ya nyoka! huyu kweli kiboko.
Atafute jambo lingine la kumpatia kipato, maana style yake ishastukiwa
 
Kama sio maelekezo ya mganga wake wa kienyeji basi anahitaji kufanyiwa mental health assessment, tena na nguvu na haraka!
 
Msikitini mnazungumza habari za mtume muhamad kuoa mtoto wa miaka sita.
msikitini kutakuwa na vituko zaidi kama maustadhini wenu wataamua kuwapa hadithi zote za mtume wenu feki.


Sidhani kama msikitini masheikh wanafanya miujiza kama kanisani, wachungaji wanadai wanaponyesha vilema, ukimwi, kufunuliwa n,k, kwa maana hiyo sitoona ajabu kuamini vituko vya Mtikila, na ndo maana nikasema, angeubiri haya kanisani waumini wake wange msifiya kapata baraka za Bwana, aleluja, Ameen

Kanisani kunavituko vingi
 
Sijaona tatizo la Mtikila kuvaa ndala......mlitaka avae nini? mguu wake kwa mujibu wake una matatizo..naoana wengine wanasema wanamshangaa kwa kuvaa kandambili.....wabongo bwana......

.....kasema kaumwa na nyoka na kakaa siku tatu*kwa mujibu wa habari) sasa mnabisha nini?
 
Anaweza kweli kuwa kaumwa na nyoka kwani ni binadamu kama wengine, lkn kitendo cha kujitangaza kaumwa na nyoka ndo maana yake nini,wanachi wangapi wameumwa na nyoka na wamenyamaza? Watu waliozoea kuandikwa kwenye magazeti bwana matatizo ndo hayo, wanaleta hata mambo ambayo c ya msingi kwenye magazeti na vyombo vya habari wakati tuna mambo mengi saana ya kujadili,kama c usanii nini nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom