you are welcome brother!Birigita asante kwa ufafanuzi mzuri wa hii kesi!
katuni haiwezi kuamua inachokitaka yenyewe.........STUKA!
Huyu Jamaa anashinda kesi zake... ubaya sijui kwanini asigombee UBUNGE; Uraisi hawezi kuupata
pima mwenyewe uchukue uamuzi!!
kila mtu ana meanz yake ya kupata msosi,,,,,,bora yeye kuliko wala rushwamtikila huwa hawezi kuishi bila kuwa na kesi na serikali.
sasa hiv atalizua lingine ili wamfungulie kesi.
YY anaishi kwa fidia za kesi tu.
Ile Kesi yake ya Uchochezi,,Mahakama imemwona hAna Hatia ..kutoka na Ushahidi ulioletwa na JMT...
*Nakumbuka Bwana mdogo wangu mmoja anasema Hajawahi Kushindwa Kesi na SErikali..
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
kumbe aliyoyazungumza kuhusu Kikwete yalikuwa ya kweli!!!! Kwahiyo serikali inapaswa kumlipa Mtikila na kumwajibisha aliyeshindwa
kwahiyo JK ni exactly as described by Mtikila.
hahahahaa..........!!!:A S shade::A S shade:
Du Mchungaji kiboko ya Serikali kwani hata Mgombea binafsi alishinda ila kwa Mchungaji mwenziye aliyemshika makalio akiwapekua kanywea na vijana wa Tarime waliomvurumisha na Mkutano alinywea