Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
Mkuu umenena vema. Ni vema spika akatoa maamuzi ya ushahidi wa Lema ili watu tujue kama Lema alisema uongo ama Waziri Mkuu ndiye aliyesema uongo. Bunge haliwezi kuwa linaomba uthibitisho kwa matamushi yaliyotolewa hadharani lakini uthibitiho na maamuzi havitolewi hadharani. CHADEMA wadai maamuzi ya uthibitisho wa Lema vinginevyo mambo ya kutaka uthibitisho itakuwa ni kupoteza muda wa bunge na wabunge.watoe kwanza maamuzi ya lema vs pinda ndio msigwa nae apeleke ushahidi na sio kuwatishia 2.